mbarak4092
Member
- Oct 17, 2012
- 19
- 2
Hi inaonesha vipi mfumo kristu unavotaka kukumbatia Zanzibar kwa kuinajisi kwa ukristu, lakini safari tunasema tumechoshwa waislamu kwani Allah anasema "uskubali kudhulumu wala kudhulumiwa" kabla ya Tanganyika kupata uhuru wake waislamu walipigania uhuru huku wakiongozwa na cha chama chao cha TAA [ALNOOR], na wao ndio walimkaribisha Nyerere, hawajali udini wala ukabila, lakini sasa baada ya kujua lugha ya wamishonari mnaona watu wote pumba sio, inshaallah hafiki miaka 50 ya muungano tutagawana mbao, kwani nyinyi ni wezi wa fadhila,