Wanabodi,
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?
Japo kwa kifupi tu, Idhaa ya Kiswahili ya BBC jioni hii imemkariri Askofu Augustino Shao wa Kanisa la Katoliki Zanzibar akidai kwamba amepokea ujumbe kupitia simu ya mkononi kwamba maishan yake yapo hatarini kwamba ni sehemu ya watu wanaowindwa na wana Uamsho. Askofu Shao anashangaa ni kwanini serikali inashindwa kudhibiti kikundi hiki cha wahuni?
Aidha kuna TAMKO LA JUMUIYA LITATOLEWA LEO.
Mpaka sasa hakuna dalili yoyote kama Amir Farid ataonekanwa.
Lakini wajue hapatakalika tena hapa tutawachinja Mapadri na Polisi wote kama kuku.
Bububu wapnesha mfano baada ya kumchinja na kumua polisi moja kwa jina anatambulika Said.
Tunatakiwa tuwe makini na askari kanzu kwani wamenza kumagwa.
Tunaiambia Serikali hatukubaliani na tamko lao walotoa jana wao ndio wanahusika moja kwa moja..
Tunataka Amir achiwe kabla ya adhuhuri.
Tuachiwe Tupumuwe.
Hivi ni kweli serikali imeshindwa kuthibiti vurugu hizi? Hawa wahuni wanapata nguvu hizi kutoka wapi?