and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,192
- 39,643
Kuna kila dalili mshiriki wa BBA 2013 kutoka Ghana Elikem "kupewa"ushindi wa mwaka huu na waandaaji wa Mashindano hayo hii ni kutokana na baadhi ya matukio yanayoendelea kutokea mjengoni humo 1. Siku SULU anatoka alifungana kura na ELIKEM lakin ikaamuliwa SULU atoke elikem abaki 2. Ugomvi wa NANDO na ELIKEM, NANDO alitimuliwa Mjengoni ELIKEM akabaki 3. Elikem kuwa mshiriki kutoka West Africa kunampa Advantage zaidi maana waandaaji hawa wanataka kuwanyamazisha mdogo EAst & Southern Africa wanaochukia watu kutoka West Africa.