Bayport yapunguza makato.

Bayport yapunguza makato.

nenda kituo chochote cha bayport kwa maelezo zaidi ndugu yangu.
Mkuu mimi sio employee..., kwahio siwezi kuwa mteja wenu wala kwenda kwenye ofisi zenu kwa maelezo itakuwa haina maana..., ila kwavile upo hapa unaona uvivu gani kutoa mchanganuo mzima wa kiasi cha kukopa na makato yote na vigezo na masharti yote.., hata mimi kama kesho kuna ndugu yangu anayefanya kazi akija kwangu ana shida na pesa naweza kumshauri kutokana na information zako.

Ila huu usiri siri unaweza ukafanya watu wakaogopa, weka vitu wazi katika lugha ambayo hata layman anaweza kuelewa sio nipigie simu au njoo ofisini
 
bora nianze vikoba kuliko nyie bayport majambazi waliniumiza sana.ni wanyonyaji wanakuambia muundo wa mkopo lakini wanakukata mara nne tofauti na mlivyoelewana.

USOTHUBUTU KUKOPA BAYPORT UTAJUTA MAISHA.
Hawa watu wameumiza sana rafiki zangu, hawafai kabisa.
 
Zamani kulikuwa hakuna serikali? Kati ya taasisi zilizodidimiza watumishi, bayport mnaongoza. Watu wamelia sana kwa mbinu zenu za kutoa pesa ndani ya 24hrs

ndugu yangu ndo mana nimeeleza vizuri mwanzoni kwamba tuwe tunajitahidi kuwa na information za kutosha na jua ile ni taasisi binafsi, hata mabank nayo mwanzon yalikuwa yanaumiza sana watu hadi hi leo hasa kwa wale wanaoweka dhamana ya mali ziszoamishika kama nyumba na viwanja hao bado wanaumizwa.
 
Hawa watu wameumiza sana rafiki zangu, hawafai kabisa.

ndugu jua hata mabenk yalikuwa ivoivo pindi walipoanza kukopesha lakn kulingana na malalamiko ya wananchi na serikali kuingilia kati wakapunguza riba zao na hicho ndicho bay port ilichofanya.
 
ndugu jua hata mabenk yalikuwa ivoivo pindi walipoanza kukopesha lakn kulingana na malalamiko ya wananchi na serikali kuingilia kati wakapunguza riba zao na hicho ndicho bay port ilichofanya.
Mkuu hapa hupati mtu, tafuta biashara nyingine kabisa. Hata huko vijijini mnakowaonea siku hizi ni wajanja.
 
bora nianze vikoba kuliko nyie bayport majambazi waliniumiza sana.ni wanyonyaji wanakuambia muundo wa mkopo lakini wanakukata mara nne tofauti na mlivyoelewana.

USOTHUBUTU KUKOPA BAYPORT UTAJUTA MAISHA.

ndugu yangu nenda kwenye ofisi za bay port utapata maelezo ya kutosha na naamini baada ya hapo utayaafiki maneno yangu,
 
Mkuu hapa hupati mtu, tafuta biashara nyingine kabisa. Hata huko vijijini mnakowaonea siku hizi ni wajanja.

lengo langu si kupata mtu lengo langu ni kukushauri wewe kuhusu kinachoendelea bayport kwa sasa, naamini nawe utakuwa mjumbe mzuri kufikisha ujumbe ila kabla haujaufikisha naomba uufanyie utafiti wa kutosha nawe utakuwa msaada kwa wengine.
 
ndugu yangu nenda kwenye ofisi za bay port utapata maelezo ya kutosha na naamini baada ya hapo utayaafiki maneno yangu,

Sasa afisa mikopo umeanzisha Uzi wa nini kama Unataka watu waende Ofisini..??

Sio kila mtu ni mtumishi wa Serikalini useme aje kukopa kwenu,lakini tuna ndugu,jamaa,marafiki wenye sifa za kukopeshwa na mwajiri wako...
Sasa weka Riba,gharama za mkopo,Insurance n.k watu wakokotoe waone kama mna unafuu unaosema vinginevyo tutaamini Mna makato makubwa sana...
 
lengo langu si kupata mtu lengo langu ni kukushauri wewe kuhusu kinachoendelea bayport kwa sasa, naamini nawe utakuwa mjumbe mzuri kufikisha ujumbe ila kabla haujaufikisha naomba uufanyie utafiti wa kutosha nawe utakuwa msaada kwa wengine.
Mkuu sahau hilo, mmeumiza sana watu kwa lugha hizi hizi. Tafuta biashara nyingine hii ya kitapeli achana nayo utapata laana bure.
 
Hey Bray1 wadau wote waliouliza hujajua kiu yao? jibu swali acha kurukaruka; RIBA YENU KIASI GANI, kidogo/imepungua ndo nini? Ala, umekuja mwenyewe!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaa JF kwa kushitukia majambazi bana ni wakare ile mbaya. We Bray kimbia kabla hatujakukamata maana tukikukamata tunakuchomea tairi la tractor. Bayport sio wezi bali majambazi sugu. Wanatafuta huruma huku JF? Bayport mmeula wa chuya hapa hampati mtu. Kuna rafiki yangu walimvuruga hadi akaacha kazi! Jamaa alilamba M-moja tu! Salarly slip kuja kuna milioni 4 za deni. Du! ila jamaa wanajua kupamba luughaaaa! Ila sasa imekula kwao.Hawapati mtu,labda zoba tu.
 
Mkuu we sepa tu. Nyie mmenyonya sana wadau, riba 40% ? Kwa mwenye malengo na kuijua bayport hawezi kuja kwenu tena hata mpunguze riba hadi 0% maana kuna vitu wakati wa kumpa mtu mkopo hamuweki wazi ila akishachukua kwenye kumdai ndo anafafanuliwa vizuri zaidi, bonge la suprise! Kawaambie mabosi wako "You can not fool all the people all the time"
 
Hawa watu wameumiza sana rafiki zangu, hawafai kabisa.

hawa matapeli nawajua sana hata mimi walinifanyia uhuni usio wa kawaida. nilikopa laki 8 nililipa zaidi ya milioni 2. usimuache rafiki au unayemfahamu akaenda huku kwa hawa majambazi. mnapatana vyema namna ya makato lakini kinachoendelea ni kilio.
 
Me sitasahau nilikopa platnum credit milion moja na laki tatu salary slip kuja nadaiwa mil 3 na laki sita nilisota nalo afu wajanja wanataka ulipe kwa mda mrefu ili wakumalize vizuri lakini nilijitahidi nikalipa kwa mkupuo ikapungua kama laki sita kwa hy wakala faida kama mil 2 na
 
Back
Top Bottom