Mimi ni loan officier wa bayport mkoa wa arusha, napenda kuwajulisha bayport tumepunguza makato na kukuwezesha wewe mteja wetu kunufaika. Mfano ukikopa laki tano kwa miezi sita utarudisha laki sita na kumi, ukikopa milion kwa miezi sita utarudisha milioni na laki mbili na elfu ishirini, tofauti na zamani ilikuwa ukikopa laki5 kwa miezi6 unarudsha laki7, ukikopa milion unarudisha riba ya laki4 kwa miezi6, sasa unaweza kukopa kwa mwaka, miaka2, miaka3 hadi mitano, kopa kwa sababu maalum na tujifunze kupata maelezo ya kutosha kwa kujitosheleza kabla ya kukopa, tunaowalenga ni wafanyakazi wa serikalini tu hata ukiwa na mkopo bado unaweza kukopa bay port. Wasiliana nami kwa namba 0762726126 kwa ushauri zaidi na maelezo zaidi