Bayport acheni utapeli

Bayport acheni utapeli

Kile nilichokuwa naambiwa na watu kuhusu hii kampuni nimeamini ni kweli ni matapeli wakubwa hawa.

Walikuwa wananidai deni lao kama milioni 2, nimeangalia salary slip nimekuta wameongeza deni limefika milioni 5. Huu sio utapeli kweli?

Mimi siwezi kubali kutapeliwa kizembe naomba msaada jinsi ya kuwaadabisha hawa nyumbu.
Sio poa mkuu majamaa ni proffesional
 
Deni lao lilikuwa limebaki 2 m nmecheki salary slip ya mwez uliopita deni badala ya kupungua limeongezeka 3 m mbele
Haahaah umefanyiwa Loan Rescheduling (LR) kimya kimya mkuu. Hufanyika hivo then unaskikizia kama mteja atasumbua (mfatiliaji) inarudishwa normal. Akikaa kimya ndo imekula hio
 
Haahaah umefanyiwa Loan Rescheduling (LR) kimya kimya mkuu. Hufanyika hivo then unaskikizia kama mteja atasumbua (mfatiliaji) inarudishwa normal. Akikaa kimya ndo imekula hio
Waandikie barua ya lalamiko,wasipojibu Basi Sheria ziko upande wako utapata na fidia km itathibitika mahakamani
 
Back
Top Bottom