MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,437
Baraza la wanawake wa Chadema Bungeni - BAWACHABU wameamua kulianzisha pasipokuchoka mpaka kieleweke. Nusrath, Esther Bulaya, Halima Mdee na wenzao wiki ijayo wamepanga kuongea na Vyombo vya habari kuonesha madudu yote ya DP World.
Pamoja na Mambo mengine yote hawa ndio watu pekee nchini wenye uwezo wa kupigania hili suala nje na ndani ya bunge.
Pamoja na kelele zao Lissu na Mbowe hawawezi kulipigania tena Bungeni suala hili.
Kila la heri BAWACHABU.
Pamoja na Mambo mengine yote hawa ndio watu pekee nchini wenye uwezo wa kupigania hili suala nje na ndani ya bunge.
Pamoja na kelele zao Lissu na Mbowe hawawezi kulipigania tena Bungeni suala hili.
Kila la heri BAWACHABU.