Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,090
- 219,146
- Thread starter
- #81
Unamfahamu Mwenyekiti wa UWT ?Mkuu ungetoa angalau mfano mmoja.
Unamfahamu Mwenyekiti wa UWT ?Mkuu ungetoa angalau mfano mmoja.
Wapo happy ,wasomi, yaani ukiingikia kichwa kichwa unapigwa maswali mpaka unasahau njia uliyojia
Usicheke hawa watu ni hatari kwa uzushi!!
CCM ina kiongozi mmoja tu , wengine wote ni mapambo ya lumumba tu
Hivi Mdee,Bulaya &CO wanaandamana kwenye siku ya wanawake wakibeba nembo ya CDM?Bawacha haitauliwa na Mamluki 19
Nadhani safari hii watabeba nembo ya ccmHivi Mdee,Bulaya &CO wanaandamana kwenye siku ya wanawake wakibeba nembo ya CDM?
Safi sana BAWACHAUshahidi huu hapa ni kielelezo cha ubora wa Taasisi hii kuongoza kwa sasa Africa na pengine duniani , kwa taasisi ambayo karibu viongozi wake wote wanakabiliwa na kesi mahakamani huku kukiwa na shinikizo kwamba ni lazima wafungwe Jumanne ijayo , hili si jambo la kawaida .
Ikumbukwe kwamba nchi hii kuna jumuiya zingine za wanawake zenye utulivu na zisizo na viongozi wenye kesi hata moja lakini zilizojaa viongozi vikongwe wasio na jipya na waliokosa maono , zimefunikwa vibaya mno na BAWACHA .
View attachment 1380911
View attachment 1380912View attachment 1380913
Pichani ni Mwenyekiti wa Chadema akiingia kwenye kongamano la BAWACHA kuhutubia
View attachment 1380914
View attachment 1380915
View attachment 1381013
Vicensia shule akimwaga mada
View attachment 1381014
Maria Sarungi akitoa neno
View attachment 1381016
Fatuma Karume akiingia ukumbini
View attachment 1381018
Kijo Bisimba ndani ya nyumba
View attachment 1381020
Dr Azavel Lwaitama akimwaga mada
Kwani Ndungai anawatambua kama wabunge wa wapi au wameshuka toka mwezini ,hawana chama?!! 🤣Nadhani safari hii watabeba nembo ya ccm