Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,230
Ushahidi huu hapa ni kielelezo cha ubora wa Taasisi hii kuongoza kwa sasa Africa na pengine duniani , kwa taasisi ambayo karibu viongozi wake wote wanakabiliwa na kesi mahakamani huku kukiwa na shinikizo kwamba ni lazima wafungwe Jumanne ijayo , hili si jambo la kawaida .
Ikumbukwe kwamba nchi hii kuna jumuiya zingine za wanawake zenye utulivu na zisizo na viongozi wenye kesi hata moja lakini zilizojaa viongozi vikongwe wasio na jipya na waliokosa maono , zimefunikwa vibaya mno na BAWACHA .
Pichani ni Mwenyekiti wa Chadema akiingia kwenye kongamano la BAWACHA kuhutubia
Vicensia shule akimwaga mada
Maria Sarungi akitoa neno
Fatuma Karume akiingia ukumbini
Kijo Bisimba ndani ya nyumba
Dr Azavel Lwaitama akimwaga mada
Ikumbukwe kwamba nchi hii kuna jumuiya zingine za wanawake zenye utulivu na zisizo na viongozi wenye kesi hata moja lakini zilizojaa viongozi vikongwe wasio na jipya na waliokosa maono , zimefunikwa vibaya mno na BAWACHA .
Pichani ni Mwenyekiti wa Chadema akiingia kwenye kongamano la BAWACHA kuhutubia
Vicensia shule akimwaga mada
Maria Sarungi akitoa neno
Fatuma Karume akiingia ukumbini
Kijo Bisimba ndani ya nyumba
Dr Azavel Lwaitama akimwaga mada