BAWACHA wawasha moto Munduli

BAWACHA wawasha moto Munduli

Leo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Monduli.

Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.

Updates

Walio zugumza leo jukwani ni Lema Natse Inno Bavicha Cecy Ndossi Patrobas. Wamezungumzia maswala mengi sana ikiwepo swala lavijana kujiandikisha, ufisadi wanaofanya ccm wa waziwazi, na kupiga kura namengine mengi
Pesa za wizi tena kwa kuwadhulumu maskini wa nchi hii? Mola ataendelea kuwaumbua!kwa mkono wa mungu hamna jambazi yoyote! Nyie mnawaita mafisadi,mungu wetu tunaemuabudu kwa dini zote awapurukutishe majambazi wote wa mali na rasimali za wa TZ!Kwa faida ya matumbo yao,ya familia na wapuuzi wenzao wanao subiri kugaiwa vyeo!Laana kuu ya allah! Iwaangukie wote ni washenzi hamna lugha yoyote mbadala...
 
mtamua lowasa kwa presha

Lowassa,afanye hesabu kwa gharama alizotumia kuhonga makanisa,misikiti na vijana wa bodaboda, viongozi wa cc ya ccm ili wampitishe kuwa mgombea urais,je kwa nini fedha hizo asingejenga nyumba za walimu Monduli na kuwalipa pesa za likizo walimu wanaosota kila siku ndani ya halmashauri kufuatilia madai yasiyo na malipo.

Je,hata Obama aligawa fedha kwenye makanisa na misikiti?
Mwogope mtu anayeingia Madarakani kwa mtutu wa bunduki au kwa njia ya Hongo ataisimamiaje TAKUKURU?
 
Ni kweli wametuwashia moto baa zote zimeisha pombe haswa viroba inabd tukqnywe mto wa mbu bawacha ni noumer khaa wanakombajeee

Khaaa! Hata ninyi mnakunywa viroba? Ama kweli nyani halioni kundule.
 
Lowassa,afanye hesabu kwa gharama alizotumia kuhonga makanisa,misikiti na vijana wa bodaboda, viongozi wa cc ya ccm ili wampitishe kuwa mgombea urais,je kwa nini fedha hizo asingejenga nyumba za walimu Monduli na kuwalipa pesa za likizo walimu wanaosota kila siku ndani ya halmashauri kufuatilia madai yasiyo na malipo.

Je,hata Obama aligawa fedha kwenye makanisa na misikiti?
Mwogope mtu anayeingia Madarakani kwa mtutu wa bunduki au kwa njia ya Hongo ataisimamiaje TAKUKURU?

Uzuri wananchi wake wameshaanza kutuelewa na wamekula kihapo chakukata uffisadi
 
Back
Top Bottom