BAWACHA wawasha moto Munduli

BAWACHA wawasha moto Munduli

kweli hako kazee nako wakafanyie kazi mpemaa.

haka kashamba sana mji wa kibaigwa wamevuruga mpaka uchaguz haujafanyika kwa baadh ya mitaa kuna kitongoj ya mtanana chadema imechukua wamenuna hasa diwan
 
juz alikuwa na mkurugenz kupanga namna ya kuthibiti chadema mana watu wana njaa sana huku mbinu yake ni kukataza wasiende kweny mikutano ya chadema

sema tatizo la wa waTz ni kuwahi kusahau shida, yaani hao wakiletewa chakula kidogo tu, wanasahau kabisa shida, hawajui kufanya maamuzi. kutoenda kwenye mikutano ya chadema sio shida ila ila wawe tu na utashi wakufanya maamuzi magumu kwenye kura.
mfano. mim ninapokaa sikuamini wananchi walichokifanya uchaguzi wa juzi, kwa maana kwenye kampen za ccm watu walijaa na walikua wakishangilia sana, siku walipokuja chadema hadi nilihisi kulia, hakukua na mtu zaidi ya makamanda wenyewe na walikuwa 6 na watu tusio zidi 5, kwa kweli nilijua ccm inapita lakini jambo la ajabu, chadema ikapita.
kikubwa watu wanajua hali wanayopitia hivo nikuzidi kuelimishana ili tu watu wajue jinsi ya kutoyumbishwa na hawa wezi.
 
Mbona CHADEMA mnaanza kampeini mapema kabla ya hamjaruhusiwa na Tume ya Uchaguzi (NEC)?!

Hizi ndiyo FUJO anazosema Nape Moses Nnauye!

Kwani Kinana alienda Tanga kufanya nini, kuwinda tembo au?
 
sema tatizo la wa waTz ni kuwahi kusahau shida, yaani hao wakiletewa chakula kidogo tu, wanasahau kabisa shida, hawajui kufanya maamuzi. kutoenda kwenye mikutano ya chadema sio shida ila ila wawe tu na utashi wakufanya maamuzi magumu kwenye kura.
mfano. mim ninapokaa sikuamini wananchi walichokifanya uchaguzi wa juzi, kwa maana kwenye kampen za ccm watu walijaa na walikua wakishangilia sana, siku walipokuja chadema hadi nilihisi kulia, hakukua na mtu zaidi ya makamanda wenyewe na walikuwa 6 na watu tusio zidi 5, kwa kweli nilijua ccm inapita lakini jambo la ajabu, chadema ikapita.
kikubwa watu wanajua hali wanayopitia hivo nikuzidi kuelimishana ili tu watu wajue jinsi ya kutoyumbishwa na hawa wezi.

hasa huku kanda ya kati kamanda acha waaminifu sana wakiletewa zawadi ila mdogo mdogo tunawaelimisha
 
Ni kweli wametuwashia moto baa zote zimeisha pombe haswa viroba inabd tukqnywe mto wa mbu bawacha ni noumer khaa wanakombajeee
 
CHAMA CHA SIASA ni MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
 
Back
Top Bottom