BAWACHA wawasha moto Munduli

BAWACHA wawasha moto Munduli

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Leo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Monduli.

Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.

Updates

Walio zugumza leo jukwani ni Lema Natse Inno Bavicha Cecy Ndossi Patrobas. Wamezungumzia maswala mengi sana ikiwepo swala lavijana kujiandikisha, ufisadi wanaofanya ccm wa waziwazi, na kupiga kura namengine mengi
 

Attachments

  • IMG-20150110-WA0137.jpg
    IMG-20150110-WA0137.jpg
    160.5 KB · Views: 1,888
  • IMG-20150110-WA0136.jpg
    IMG-20150110-WA0136.jpg
    85.2 KB · Views: 1,748
Pigeni kazi makamanda hadi kieleweke. Pukutisha magamba yote huko.
 
Leo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Munduli.

Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.

Updates nitaendelea kuwaletea mkutano ukianza

Duh! Umenikumbusha mbali nilipokuwa Monduli, huyo mzee kwenye hiyo picha ya pili namfahamu sana ni full burudani comedy tosha.
Point of correction : edit neno Munduli lisomeke Monduli.
 
Duh! Umenikumbusha mbali nilipokuwa Monduli, huyo mzee kwenye hiyo picha ya pili namfahamu sana ni full burudani comedy tosha.
Point of correction : edit neno Munduli lisomeke Monduli.
Ni mwana harakati wa kweli
 
...

....Tutaheshimiana tu mwaka mwenye purushe kivyakeee !!!!
 
Leo majira ya saa tisa alasiri kutafanyika mkutano mkubwa na wakistoria katika viwanja vya polisi katika mji wa mto wa Mbu wilayani Munduli.

Mkutano huo utaongozwa nakamanda shupavu mwenyekiti wa Bawacha mkoa Kamanda Cecy Ndosi viongozi mbalimbali wakichama watakuwepo. Mwenyekiti wa Bavicha taifa Patrobas, Natse(mb), Godbless Lema (mb), diwani Bananga, kamanda Magoma, kamanda Mawazo, nawengine wengi karibuni sana.

Updates nitaendelea kuwaletea mkutano ukianza
...chezea chadema,rorya tuko nyuma yenu......na tuko tayari kuwamaliza ccm 2015 wapende wasipende
 
...

....Lema + Bananga + Mawazo + Magoma leo Mto wa Mbu patawaka moto yule Mzee pole yake !!!

attachment.php

 
juzi tu mlisema patrobas ni passive. kijana yuko makini tofauti anavyo andamwa. mkutano mwema msiishie mtowambu tuu enendeni hata huko vijijini mkafikishe ujumbe wenu.
 
patrobas katambi naamini ataeleweka vizuri sana maana yy ni zaidi ya mwalimu wa siasa
 
juzi tu mlisema patrobas ni passive. kijana yuko makini tofauti anavyo andamwa. mkutano mwema msiishie mtowambu tuu enendeni hata huko vijijini mkafikishe ujumbe wenu.

Ndio tumeanza mpaka uchaguzi mkuu
 
Kama kamanda Mawazo atakuwepo, mkutano utanoga sana.
Wasisahau kukumbushia kujiandikisha kwa ajili ya uchaguzi mkuu!
 
Back
Top Bottom