BAVICHA yazidi kujitanua ULAYA

Wewe kaaznishe chama chako cha makafili, maana unaonekana una mawazo mgando ya kidini. Nadhani ulisoma ngumbalu na ni miongoni mwa membaz wa chukua chako mapema (ccm.udini utakufikisha wapi wewe kalagabaho???????????????//
 
Atleast sasa naanza kupata mwanga, kumbe kelele zote mpaka mnataka kutoana macho ni kwa ajili ya hivi vitrip vya Ulaya na viposho vya hapa na pale?
 
Atleast sasa naanza kupata mwanga, kumbe kelele zote mpaka mnataka kutoana macho ni kwa ajili ya hivi vitrip vya Ulaya na viposho vya hapa na pale?

Nashukuru mkuu umewagundua.
 
Hizi nafasi za makamo/naibu hazina maana.
Hebu angalia,
1.Makamo wa raisi anafanya nini?.
2.makam mwenyekiti chadema taifa anafanya nini?
3.Naibu katibu mkuu chadema (bara/visiwani) anafanya nini?
4.naibu mwenyekiti bavicha,anafanya nini?
5.Naibu mkuu wa mkoa.
6.Naibu waziri.
7.etc,etc

Wizi mtupu,nafasi za ulaji hizo bila kufanya kazi.

Makamu mkiti Bavicha yuko busy kumfanyia kampeni Shibuda za kugombea Urais.
 
Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa John Heche na Katibu Mkuu wake Deogratius Munishi wamealikwa na Baraza la vijana la chama tawala nchini Ujerumani kuhudhuria mkutano wake mkuu.
Vijana hao wa BAVICHA wamealikwa kama wawakilishi kutoka Tanzania na Africa kwa ujumla.Pia wamepewa heshima kubwa ya kuhutubia mkutano huo mkuu.
Mkutano mkuu huo utahudhuriwa na Chancellor wa Ujerumani Bi. Angel Markel.

Kwani kipya ni nini hapa? Au wanachama wa CHADEMA mnafuata chama bila kujua asili yake?

CHADEMA ni chama kilichoundwa na kufadhiliwa na CDU. CDU ni christian democratic part cha ujerumani, kikiongozwa na Bi Angel Markel na ndicho kinachotawala Ujerumani. Pesa zote za chaguzi zote katika CHADEMA hutokea Ujerumani, hivyo CHADEMA ikishinda ni sawa na Ujerumani au CDU kutawala Tanzania. Hivyo BAVICHA au Uongozi wa CHADEMA kwenda Ujerumani wala si habari mpya. Wamekwenda na watakwenda sanaaaa.

Kifupi ukoloni upo njiani kurudi kwa njia ya vibaraka. Mnataka kurudisha ukoloni chagueni CHADEMA.
 
Kwani kipya ni nini hapa? Au wanachama wa CHADEMA mnafuata chama bila kujua asili yake?

CHADEMA ni chama kilichoundwa na kufadhiliwa na CDU. CDU ni christian democratic part cha ujerumani, kikiongozwa na Bi Angel Markel na ndicho kinachotawala Ujerumani. Pesa zote za chaguzi zote katika CHADEMA hutokea Ujerumani, hivyo CHADEMA ikishinda ni sawa na Ujerumani au CDU kutawala Tanzania. Hivyo BAVICHA au Uongozi wa CHADEMA kwenda Ujerumani wala si habari mpya. Wamekwenda na watakwenda sanaaaa.

Kifupi ukoloni upo njiani kurudi kwa njia ya vibaraka. Mnataka kurudisha ukoloni chagueni CHADEMA.

A stupid thinking capacity.
 
A stupid thinking capacity.

Ha Ha ha haaa! Leo nimekupata, siri hii ndio ilikuwa ya mwisho kabisa kupenda isikike TZ.

Ndugu yangu siri hakuna, malalamiko mengi yametolewa kuwa CHADEMA inafadhiliwa na nchi za nje, wakimaanisha UJERUMANI.

Sasa tuambieni ajenda zenu za siri na Ujerumani. Ni vyema kukubali kuliko kuiita kweli hiyo STUPID THINKING.....

Nyie ndio mmeshindwa kufikiri kweli kweli... Chama kisicho na muonjo wala muelekeo.
 
matola,

acha kuichafua bavicha .

user-online.png
Jack kombe

Today 14:00
#69
Member Array



Join Date : 6th September 2012

Posts : 23

Rep Power : 308

Likes Received
2

Likes Given
3
 
mkuu mimi ni mwanachama wa chadema,kujitanua ulaya inasaidia kuingiza chadema madarakani?kwa nini msihangaikie kujitanua mikoa yote tanzania the ulaya will follow??
Wanahofia mabomu na Vitu vyenye ncha kali, hivyo wanakwenda kujifunza ni jinsi gani ya kukabiliana na hali kama hiyo na kupata mawazo ni jinsi gani vjana wenzao wameweza kujikomboa kiuchumi na kusimamia utawala bora
 
Ha Ha ha haaa! Leo nimekupata, siri hii ndio ilikuwa ya mwisho kabisa kupenda isikike TZ.

Ndugu yangu siri hakuna, malalamiko mengi yametolewa kuwa CHADEMA inafadhiliwa na nchi za nje, wakimaanisha UJERUMANI.

Sasa tuambieni ajenda zenu za siri na Ujerumani. Ni vyema kukubali kuliko kuiita kweli hiyo STUPID THINKING.....

Nyie ndio mmeshindwa kufikiri kweli kweli... Chama kisicho na muonjo wala muelekeo.

Ugonjwa wa pepopunda bado ni janga nchini.
 
Wanahofia mabomu na Vitu vyenye ncha kali, hivyo wanakwenda kujifunza ni jinsi gani ya kukabiliana na hali kama hiyo na kupata mawazo ni jinsi gani vjana wenzao wameweza kujikomboa kiuchumi na kusimamia utawala bora

Ni kweli Kamanda.
 
Ha Ha ha haaa! Leo nimekupata, siri hii ndio ilikuwa ya mwisho kabisa kupenda isikike TZ.

Ndugu yangu siri hakuna, malalamiko mengi yametolewa kuwa CHADEMA inafadhiliwa na nchi za nje, wakimaanisha UJERUMANI.

Sasa tuambieni ajenda zenu za siri na Ujerumani. Ni vyema kukubali kuliko kuiita kweli hiyo STUPID THINKING.....

Nyie ndio mmeshindwa kufikiri kweli kweli... Chama kisicho na muonjo wala muelekeo.

Zawadi,

Unajua unapojikuta unatumia nguvu nyingi kuamini na kusambaza propaganda cheap ni fedheha sana?

Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k. Hizi cheap propagnda za kaina wasira (ambao wapo tayari hata kuwakana watoto wao) kwa maslahi ya kisiasa ni uvivu tu wa kufikiri

CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas

The last few days have shown that a well organised democratic system will always serve the people better and make the country stronger.Na hii ndiyo motive ya chama chochote makini cha siasa kama CHADEMA

Huu ufadhili mnaosambaza kwa hisia na hofu tu hautasaidia zaidi kukitangaza CHADEMA vizuri.Mtindo huu wa kutumia muda mwingi kutafuta propaganda badala ya kutafuta solution ya matatizo ya wananchi ili mpendwe haitasaidia,ni jaribio la ushirikina tu!
 
Zawadi,

Unajua unapojikuta unatumia nguvu nyingi kuamini na kusambaza propaganda cheap ni fedheha sana?

Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k. Hizi cheap propagnda za kaina wasira (ambao wapo tayari hata kuwakana watoto wao) kwa maslahi ya kisiasa ni uvivu tu wa kufikiri

CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas

The last few days have shown that a well organised democratic system will always serve the people better and make the country stronger.Na hii ndiyo motive ya chama chochote makini cha siasa kama CHADEMA

Huu ufadhili mnaosambaza kwa hisia na hofu tu hautasaidia zaidi kukitangaza CHADEMA vizuri.Mtindo huu wa kutumia muda mwingi kutafuta propaganda badala ya kutafuta solution ya matatizo ya wananchi ili mpendwe haitasaidia,ni jaribio la ushirikina tu!

Pamoja sana Kamanda!
 
Sio siri, Bavicha wamepata m/kiti yaani Heche ni jembe sio mchezo, anapiga kazi, nashangaa huyo makamu simsikii hata kwenye mikutano ya kujenga chama!
hajawahi hata kuhutubia mkutano wa watu 20 anachofanya ni kumsubiri shibuda wakutane bondeni hotel au Tamal wapange hujuma za namna gani bavicha ivurugike wakijipoza na vinywaji baridi vinavyotokana na ujira wa mwia au posho za mzee shibuda eti hawa nao wanataka kwenda ikulu eti wanasema slaa anawawekea kiwingi jaman!!!!
 
Zawadi,

Unajua unapojikuta unatumia nguvu nyingi kuamini na kusambaza propaganda cheap ni fedheha sana?

Mfumo wa kushirikiana kwa vyama vya siasa haujaanza Leo.Upo miaka mingi.Vyama husaidiana katika capacity building n.k. Hizi cheap propagnda za kaina wasira (ambao wapo tayari hata kuwakana watoto wao) kwa maslahi ya kisiasa ni uvivu tu wa kufikiri

CHADEMA still has a learning curve and we will get there but we must do the needful and partner with people, parties with whom we share similar ideas

The last few days have shown that a well organised democratic system will always serve the people better and make the country stronger.Na hii ndiyo motive ya chama chochote makini cha siasa kama CHADEMA

Huu ufadhili mnaosambaza kwa hisia na hofu tu hautasaidia zaidi kukitangaza CHADEMA vizuri.Mtindo huu wa kutumia muda mwingi kutafuta propaganda badala ya kutafuta solution ya matatizo ya wananchi ili mpendwe haitasaidia,ni jaribio la ushirikina tu!
umenena vyema saana maana mtu anayetua akili ya watu waliozeeka na ambao tangu ujanani hawakuwa na uwezo wa kufikiri kama jopo la wazee wa ccm na yeye pia hana fikra au anajali posho na yuko tayari kwa lolote mbele ya posho
 
Wewe kaaznishe chama chako cha makafili, maana unaonekana una mawazo mgando ya kidini. Nadhani ulisoma ngumbalu na ni miongoni mwa membaz wa chukua chako mapema (ccm.udini utakufikisha wapi wewe kalagabaho???????????????//

Acha udini wewe.Ulaya kabla ya atheism kila nchi ilikuwa na vyama vikuu vilivyotokana na ukristu.Ingawa vingi ukristu haupo tena humo.Na hawa wamekuwa wak deal na nchi zote zenye mahusiano na nchi zao.Kuanzia za kiislam haswa hadi za kibudha.Wapakistani na ulevi wao wa dini wana mahusiano na hivo vyama.CCM na CUF pia wanakuala mgao.Ni wewe tuu ndio hujui hilo na vyama vyenu vinapiga kimya ili kupotosha uma.Sabodo alianza waumbua na sasa ktk website ya Shirika la kijerumani lilikokuwa GTZ wameweka kila kitu.
 
Back
Top Bottom