Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
John Heche akiwa na sheikh Ponda leo
sheikh ponda ni nani hata atembelewe hospital jamani? halafu wala hampendezi! hebu jirudishieni wenyewe muone kama nyie mngelazwa sheikh ponda angefanya nini juu yenu! chadema mmeanza cheap politics!shame on you
mix with yours
Kwa hiyo ni nani anapaswa kutembelewa hospitali??Kwa nini uulize shekhe Ponda ni nani??Kwanza ni shekhe hivyo anao watu anaowaongoza.Pili ni Mtanzania.Tatu ni Baba wa familia.Nne ni Jirani.Tano ni Mpigania Haki za hilo kundi lake.Sita ni Rafiki. Na mengine mengi sana kuwa Shekhe Ponda ni nani??????Kama unahitaji nikuongezee kuwa ni nani ni PM.sheikh ponda ni nani hata atembelewe hospital jamani? halafu wala hampendezi! hebu jirudishieni wenyewe muone kama nyie mngelazwa sheikh ponda angefanya nini juu yenu! chadema mmeanza cheap politics!shame on you
mix with yours
kura na kula kote kunafana.
naweza uona unafiki machoni mwa huyo mgambo aliyesimama pembeni mwa kitanda.
sijajua ni mgambo wa wapi
Ponda ana msimamo sawa na CHADEMA juu ya namna CCM wanavyotugawa na kutaka kutengeneza dhana kwamba kuna ugomvi kati ya WAISLAM na WAKRISTO kwa manufaa ya ccm... Hata Morogoro alifafanua kwa urefu ikiwemo kitendo cha kuundwa kamati ya ulinzi kwa ajili ya kusimamia ibada, kukagua hutba na kuamua nini cha kuhutubia. Ponda amekuwa mtetezi huru asiyefungamana na kundi lolote.
sheikh ponda ni nani hata atembelewe hospital jamani? halafu wala hampendezi! hebu jirudishieni wenyewe muone kama nyie mngelazwa sheikh ponda angefanya nini juu yenu! chadema mmeanza cheap politics!shame on you