Mdutch
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 214
- 77
Wadau nipata taarifa kwamba Baraza la Vijana la Chadema BAVICHA liko kwenye maandalazi kabambe ya kuwakutanisha vijana wenzao kutoka mataifa mbalimbali barani Africa kuanzia kesho ijumaa hadi jumapili jijini Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari muda mfupi uliopita na katibu mkuu wa Baraza hilo zinasema kwamba lengo kubwa la mkutano huo ni kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kimkakati na kimbinu katika maswala ya uchaguzi. kampeni zaidi ya Sera za kimaendeleo kwa vijana. Pia taarifa hiyo inaonyesha kuna baadhi ya vyama tawala Barani Afrika kama kile cha Bibi Hllen Johnson Serlief wa Liberia vitawakilishwa na vijana wao.
Nawapongeza sana BAVICHA kwa kujipambanua kimataifa zaidi na pia inaonyesha jinsi gani Chadema kinajiandaa kukamata dola.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari muda mfupi uliopita na katibu mkuu wa Baraza hilo zinasema kwamba lengo kubwa la mkutano huo ni kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kimkakati na kimbinu katika maswala ya uchaguzi. kampeni zaidi ya Sera za kimaendeleo kwa vijana. Pia taarifa hiyo inaonyesha kuna baadhi ya vyama tawala Barani Afrika kama kile cha Bibi Hllen Johnson Serlief wa Liberia vitawakilishwa na vijana wao.
Nawapongeza sana BAVICHA kwa kujipambanua kimataifa zaidi na pia inaonyesha jinsi gani Chadema kinajiandaa kukamata dola.