mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
UVCCM wanawaza tu utokee uchaguzi mwingine wale wali kwenye kampeni na kuweka kambi za kigaidi.
UVCCM wanawaza tu utokee uchaguzi mwingine wale wali kwenye kampeni na kuweka kambi za kigaidi.
UVCCM wanajipanga kuhamia CDM!
Wadau nipata taarifa kwamba Baraza la Vijana la Chadema BAVICHA liko kwenye maandalazi kabambe ya kuwakutanisha vijana wenzao kutoka mataifa mbalimbali barani Africa kuanzia kesho ijumaa hadi jumapili jijini Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari muda mfupi uliopita na katibu mkuu wa Baraza hilo zinasema kwamba lengo kubwa la mkutano huo ni kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kimkakati na kimbinu katika maswala ya uchaguzi. kampeni zaidi ya Sera za kimaendeleo kwa vijana. Pia taarifa hiyo inaonyesha kuna baadhi ya vyama tawala Barani Afrika kama kile cha Bibi Hllen Johnson Serlief wa Liberia vitawakilishwa na vijana wao.
Nawapongeza sana BAVICHA kwa kujipambanua kimataifa zaidi na pia inaonyesha jinsi gani Chadema kinajiandaa kukamata dola.
Uvccm pia waalikwe kwenye hicho kikao.
Watakaohudhuria mkutano ni kina nani na faida ya huu mkutano itakuwa nini kwa ''vijana wa kitanzania''?? Kama utaanza kesho sisi vijana wa Mwanza tutashiriki vipi wakati kwa umachinga wetu hatuna nauli ya ndege ili tufike kwa wakati!!!??
Big up sana BAVICHA,
hakika wananchi wanawatambueni kuwa ni mashine kubwa tangu mara baada ya kazi kubwa mlioifanya kwa mafnikio makubwa sana Igunga na sasa tayari mmekuja na another FIRST!!!
Mendapo hamna wa kutupa sikio pale Magogoni kwenye mkutano wa wakubwa wetu wale, moto mkubwa kote nchini!!!
UVCCM yote ipo Dodoma haina mawazo kama ya Bavicha. Big up sana CDM na BAVICHA kwa ujumla
UVCCM wanajipanga kuhamia CDM!
Manyanza the power has changed hand...Bado wako kwenye denial(sp?) period. Hata Daudi alipo kuwa anointed na Samweli Sauli alikuwa hajajua kuwa mfalme mpya wa Israel alishatawazwa na kwamba utawala wake ulikuwa uko karibu kuanguka.
UVCCM wanawaza tu utokee uchaguzi mwingine wale wali kwenye kampeni na kuweka kambi za kigaidi.