tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Baada ya kupima ngoma maongezi ya daktari na baunsa yalikuwa hivi. Baunsa: mbona unanishangaa tu badala ya kunipa majibu? Dk. Naogopa utanidunda nikikupa majibu yako.
Basi baunsa kashajua majibu yake!