Baunsa Kaaazi kweli

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
fropkicombodybuilderssd6.jpg fropkicombodybuilders2ul2.jpg
 
hii ni sindano tu, hakuna binadamu anaweza kuwa hivyo.nami pia najaribu kuinua lakini hapo hapana.ukisikia doping basi ndiyo hiyo
 
hii ni sindano tu, hakuna binadamu anaweza kuwa hivyo.nami pia najaribu kuinua lakini hapo hapana.ukisikia doping basi ndiyo hiyo

Ni kweli, kiasili binadamu hawezi kujengeka kihivyo bila msaada wa anabolic steroids na human growth hormones. Lakini pia nadhani hizi picha zimefanyiwa usanii wa namna fulani kuzidisha ukubwa wa maungo ya huyo jamaa
 
mbona nyeti zipo vile vile au hapo kaona noma kuziongeza
utani bwana hakuna jitu kama hilo ni photoshop hizo
Conquest-hata umlishe kokoto uharo ndio asili yake-BATA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom