Sijui kwa huyo baunsa ila kwangu mimi hapo hako kajamaa kangechezea vitasa vizuri tuu.anamnyanyua vipi wakati ukiangalia unaona hata hakamshika mshikaji mguu,hapo kazidiwa
kuna story ilivuma Baunsa wa Dully Sykes miaka 2013-2015 kama sikosei alikuwa mzinguaji sana ,akaingia kwenye anga za wahuni walimchangia na kumlawiti na video zikawekwa mtandaoni wakati wanampakuaIshawahi mtokea bodyguard wa future aliingia mikono sio
lakini mtaani wapo majamaa wabeba cement 3 begani wamekoma bila kupiga chuma ,sema tu mabaunsa wana miili mikubwa na wengi wa siku hizi wanatumia mapoda ili wavimbe vifuaSijui kwa huyo baunsa ila kwangu mimi hapo hako kajamaa kangechezea vitasa vizuri tuu.
TuelezeeMmechelewa kuamka hiyo picha ili trend wiki iliyopita na ilitolewa ufafanuzi na kuna video ya hilo tukio