Battle: Utawala wa mkoloni na wa mtu mweusi Afrika upi bora?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,216
3,692
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana na mjadala huu enzi za utawala wa mzungu na enzi za utawala wa mtu mweusi ambao ni sasa ndani ya bara la AFRICA UPI BORA AU UNA UNAFUU......

1.WAkati wazungu wanatutawala wa wa WAAFRICA TULIWAITA WAKOLONI lakini wazungu kipindi wanatawala walifanikiwa kujenga shule, vyuo vikuu, elimu ilikuwa bure, ajira zilikuwepo, walijenga barabara lakini tuliwaita wakoloni kwa sababu tulikuwa tunataka kujitawala .

2.wakati wa utawala wa mtu mweusi tunajitawala tulikubaliana tunamuondoa mkoloni ili tuweze kujitawala lakini baada ya kukamata utawala kuna viongozi na vyama vya siasa wamegoma kuondoka madarakani kwa sababu wanataka kutawala milele lakini pia hali ya maisha ngumu wanateseka kuna watu wanateseka kama kipindi cha mkoloni.......

Je upande wako unadhani upi bora kati ya mkoloni na mtu mweusi katika utawala
 
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana na mjadala huu enzi za utawala wa mzungu na enzi za utawala wa mtu mweusi ambao ni sasa ndani ya bara la AFRICA UPI BORA AU UNA UNAFUU......

1.WAkati wazungu wanatutawala wa wa WAAFRICA TULIWAITA WAKOLONI lakini wazungu kipindi wanatawala walifanikiwa kujenga shule, vyuo vikuu, elimu ilikuwa bure, ajira zilikuwepo, walijenga barabara lakini tuliwaita wakoloni kwa sababu tulikuwa tunataka kujitawala .

2.wakati wa utawala wa mtu mweusi tunajitawala tulikubaliana tunamuondoa mkoloni ili tuweze kujitawala lakini baada ya kukamata utawala kuna viongozi na vyama vya siasa wamegoma kuondoka madarakani kwa sababu wanataka kutawala milele lakini pia hali ya maisha ngumu wanateseka kuna watu wanateseka kama kipindi cha mkoloni.......

Je upande wako unadhani upi bora kati ya mkoloni na mtu mweusi katika utawala
The bottomline ni kuwa AFADHALI YA MKOLONI!
 
Kama wataka kutawaliwa na waarabu na hiyo mizungu, wewe kaka, wacha tuuguwe na Magu asie, acha kabisa kuwa mtumwa aise..naona bado akili yako haijielewi, waulize waliokuwa watumwa uelewe mateso yake aise..
 
Naona mnashabikia msivyovijua vijana sababu ya siasa au uelewa finyu...Ni kweli mkoloni alikua na uwezo wa kupanga na na kujenga uchumi kwa ubora kuliko weusi wetu ila walikua hawajali maslahi ya wananchi, walikua wakifanya kwa ajili yao,
Dharau na ubaguzi kwa waafrika na ukandamizaji wa haki kwenye ardhi yetu
Japo viongozi wetu wana kasoro nyingi za ubinafsi pia, usilinganishe ukasema bora ukoloni ndugu....wakoloni hawa waliokata watu mikono huko Kongo? waliochonganisha wa Hutu na wa Tutsi?
 
Katika pitapita zangu mitandaoni nilikutana na mjadala huu enzi za utawala wa mzungu na enzi za utawala wa mtu mweusi ambao ni sasa ndani ya bara la AFRICA UPI BORA AU UNA UNAFUU......

1.WAkati wazungu wanatutawala wa wa WAAFRICA TULIWAITA WAKOLONI lakini wazungu kipindi wanatawala walifanikiwa kujenga shule, vyuo vikuu, elimu ilikuwa bure, ajira zilikuwepo, walijenga barabara lakini tuliwaita wakoloni kwa sababu tulikuwa tunataka kujitawala .

2.wakati wa utawala wa mtu mweusi tunajitawala tulikubaliana tunamuondoa mkoloni ili tuweze kujitawala lakini baada ya kukamata utawala kuna viongozi na vyama vya siasa wamegoma kuondoka madarakani kwa sababu wanataka kutawala milele lakini pia hali ya maisha ngumu wanateseka kuna watu wanateseka kama kipindi cha mkoloni.......

Je upande wako unadhani upi bora kati ya mkoloni na mtu mweusi katika utawala
Tawala zote iwe ya mweupe au mweusi ni mbaya tu. Utawala wa wazungu walitutawala lakini walitubagua na kutunyima uhuru wa kutumia facilities zao na usawa. Wakati utawala wa weusi ni selfish, wabinafsi, wanajali familia zao tu na kuiba pesa za wananchi kupeleka Uswiss.
Lakini kwa upande wangu bora kutawaliwa na mzungu kama kuna usawa bila ubaguzi. Mtawala mweusi ni matatizo tu.. Black rulers have no clue of what is to rule a country, to them ruling means stealing and killing or silencing whoever speaks out or opposes them.
 
Tawala zote iwe ya mweupe au mweusi ni mbaya tu. Utawala wa wazungu walitutawala lakini walitubagua na kutunyima uhuru wa kutumia facilities zao na usawa. Wakati utawala wa weusi ni selfish, wabinafsi, wanajali familia zao tu na kuiba pesa za wananchi kupeleka Swiss.
Lakini kwa upande wangu bora kutawaliwa na mzungu kama kuna usawa bila ubaguzi. Mtawala mweusi ni matatizo tu.. Black rulers have no clue of what is to rule a country, to them ruling means stealing and killing or silencing whoever speaks out or opposes them.
Ila heri ya hivi kaka, kutawaliwa na mzungu hapana aise..
 
Ila heri ya hivi kaka, kutawaliwa na mzungu hapana aise..
England, USA, Canada, Sweden na nchi zingine za Ulaya zote zinatawaliwa na wazungu. Watu weusi wako kibao huko na ukiwauliza kama wangependa kuacha uraia wao waje kuishi TZ au Kenya kama raia, bila shaka watakataa.

Nchi za wazungu zinajali wananchi wao. Kwa mfano, wana social welfare system, unemployment benefit, pension hata kama hujawai fanya kazi, mwananchi ana haki kupatiwa nyumba, unaweza shitaki serikali kama ni homeless na mengi tu. Nasema hivyo sababu nimeishi ulaya kwahiyo na uhakika nachokiongea. Wenzetu wanajali watu wao, siyo kama sisi majendaheka!
 
England, USA, Canada, Sweden na nchi zingine za Ulaya zote zinatawaliwa na wazungu. Watu weusi wako kibao huko na ukiwauliza kama wangependa kuacha uraia wao waje kuishi TZ au Kenya kama raia, bila shaka watakataa.Nchi za wazungu zinajali wananchi wao. Kwa mfano, wana social welfare system, unemployment benefit, pension hata kama hujawai fanya kazi, mwananchi ana haki kupatiwa nyumba, unaweza shitaki serikali kama ni homeless na mengi tu. Nasema hivyo sababu nimeishi ulaya kwahiyo na uhakika nachokiongea. Wenzetu wanajali watu wao, sito kama sisi majendaheka!
Usemacho kweli, tunaona kwenye luninga na kusoma, kama sio internet, ila kaka kweli hatuwezi kuwajulisha matatizo yetu zaidi mpaka wakasikia? Twajuwa wabinafsi na waroho wa pesa na madaraka, hasa kujijali wao tu, tena nimesoma humu ndani eti JPM anataka kununua ndege ya ki VIP?! Jamani?! Yaani akiona tu ya pale Mwananyamala Msisiri, Tanga, Lushoto, Mwanza, Tandale, mabarabarani, natumaini hizo ndege atatupa kule, ila tena kutawaliwa sidhani, hayo ni maoni yangu tu..
 
Naona mnashabikia msivyovijua vijana sababu ya siasa au uelewa finyu...Ni kweli mkoloni alikua na uwezo wa kupanga na na kujenga uchumi kwa ubora kuliko weusi wetu ila walikua hawajali maslahi ya wananchi, walikua wakifanya kwa ajili yao,
Dharau na ubaguzi kwa waafrika na ukandamizaji wa haki kwenye ardhi yetu
Japo viongozi wetu wana kasoro nyingi za ubinafsi pia, usilinganishe ukasema bora ukoloni ndugu....wakoloni hawa waliokata watu mikono huko Kongo? waliochonganisha wa Hutu na wa Tutsi?
Duu umezungumza point ila twende mbele tududi nyuma

Mimi naona bora nibaguliwe na mzungu kuliko nibaguliwe na mwafrica mwenzangu kwa misingi ya UKABILA NA UKANDA.....

Nasema hivyo kwa sababu nishaawahi fanya kazi ofisi flani yule bosi wa ofisi alikuwa kabila flani ivi XXX,

basi bana pale ofisini ile ofisi jamaa alijaza watu wa kabila lake kasoro mimi na wenzangu kama wawili ivi........

Basii wakikaa utasikia wanakuteta Kwa lugha ya kwaoo mara wanakunyanyapaa yaani acheni tuu
 
Hivi kumbe sasa hivi Africa tuna uhuru! Hivi kumbe wakoloni hawatutawali! Hivi kumbe serikali za kiafrika(excluding zimbabwe) zina mamlaka ya kiutawala! Eti tuko huru! Watu wengine mnachekeshaaa! Teh . . . Teh. . . Be aware of this~~ AFRICA IS A NON SOVEREIGN CONTINENT BUT IT HAS FREEDOM.
 
Siku hizi kuna ukoloni Mamboleo, ambao kwa upande wangu naona ni mbaya kuliko hata ukoloni kwa maana kipindi cha ukoloni kulikuwa na harakati za kudai uhuru, wanaharakati na wanamapinduzi wa Kiafrika walipigana kufa na kupona ili kujikomboa. Lakini sasa hakuna harakati zozote au mapinduzi yanayofanyika against Neo colonialism, Waafrika wanateswa kwenye kila nyanja ya kimaisha bila kujitambua huku wakiendelea kujidanganya kuwa wako huru! Me naona bora Kipindi ambacho ukoloni ulikua hujaingia kuliko kipindi hiki na kipindi cha ukoloni.
 
Chapa nalo hadi wapiga kura tena
Taratibu nimeanza kuona hapa tz tatizo sio ccm bali wananchi ndio tatizo kuendelea kuichagua ccm. Hata kama ccm inaiba kura lakini margin ni ndogo sana kuweza kuonea aibu huo wizi. Watz wengi bado wanaipa ccm kura. Ili kuangusha ccm inabidi margin ya ushindi kwa upinzani iwe kubwa sana mpaka waone aibu kuiba. Ccm haiwezi kukabidhi nchi kwa hivi vi margin vidogo.

Ok. Ngoja tuone na kwa Zuma. Pamoja na kashfa zote za Zuma lakini utashangaa wanampa kura.
Kwa wazungu kashfa ya Zuma angetolewa nafasi ya urais mara moja.

HIVYO NAHITIMISHA KUWA SI VIONGOZI TU BALI HATA WAPIGA KURA WA KIAFRIKA NI KIKWAZO CHA MAENDELEO. HUWEZI PATA MAENDELEO KWA KUSHIKILIA MFUMO MMOJA. TAHADHARI DONT COMPARE WITH CHINA, KULE FISADI ADHABU NI KIFO. JE IPO HIVYO PIA KWA CCM!!? JIBU NI HAPANA
 
Naona mnashabikia msivyovijua vijana sababu ya siasa au uelewa finyu...Ni kweli mkoloni alikua na uwezo wa kupanga na na kujenga uchumi kwa ubora kuliko weusi wetu ila walikua hawajali maslahi ya wananchi, walikua wakifanya kwa ajili yao,
Dharau na ubaguzi kwa waafrika na ukandamizaji wa haki kwenye ardhi yetu
Japo viongozi wetu wana kasoro nyingi za ubinafsi pia, usilinganishe ukasema bora ukoloni ndugu....wakoloni hawa waliokata watu mikono huko Kongo? waliochonganisha wa Hutu na wa Tutsi?
Bora wazungu tu. Waafrika na aboriginal wa USA wananufaika na uwepo wa wazungu. Hata hapa tz ingefika wakati wangeacha ubaguzi tu.
Kule Kenya bila Dr. Leakey- Mzungu aliyepewa kusimamia hifadhi za wanyama basi kwa sasa Kenya hifadhi ingekuwa historia. Mimi ni Mwafrika lakini sijionei haya kujisema udhaifu tulionao.
Tuko bize kula rambi rambi. Ile hela wazungu wametoa kukodisha ndege kuwapeleka majeruhi USA wangepewa ccm wangegawana posho
 
Nyerere alisema kaburu ni kaburu tu hata kama ni mweusi!
Kwangu Mimi afadhali kaburu mweupe kuliko kaburu mweusi ila afadhali mzalendo mweusi kuliko mzalendo mweupe!
Tatizo letu weusi ni double standard za wazi hadi kichefu chefu!
Tatizo kupata mzalendo ni shughuli pevu! Sijui kizazi cha wazalendo kilishafungwa.
 
Mi nafikiri, pamoja na kwamba tulitawaliwa na wazungu ambao kwa namna nyingine tuseme wapitaji, yaani baada ya uhuru wetu wao wangeondoka: lakini hawa watu pamoja na kujua ni wapitaji walikuwa na maono ya muda mrefu sana juu ya ardhi ambayo sio yao. Tazama maendeleo yalioachwa mf kenya, zimbabwe, nigeria. Hawa watu walifanikiwa kujenga miundombinu ya kudumu katika ardhi ya watu sisi leo barabara inajengwa baada ya miaka 5 inakuwa mashimo kama eneo lililokuwa linachimbwa madini. Mfano mdogo ni pale mbeya mjini: tanroads ya leo pale mbeya wana miliki skrepa za kutengenezea barabara lakini kipindi cha wazungu kulikuwa na katapila zenye uwezo wa kutosha kabisa, kama hiyo haitoshi hapo hapo karibu na tanroads nanenane hapo ambapo panaitwa patizanziki hawa jamaa walijenga nyumba kwa kutumia zile dash board zilizodumu kwa zaidi ya miaka 30 lakini walipochukuwa wabongo ghafla zikaanza kuliwa na mchwa mpaka sasa lile eneo pamoja na uzuri wake wote limegeuzwa makazi ya watu kwa kubomoa nyumba za maana na kujenga hovyohovyo tu. Mi naona pamoja na kwamba hawa jamaa walikuwa kandamizi lakini tulipaswa kuwachukulia powa baada ya kupata uhuru ili waendeleze mengi waliokuwa wanafanya hususani katika maendeleo ya miundombinu lakin badala yake tukaja na AFRIKANAIZESHENI ambayo ilileta ubaguzi wa rangi na kufanya hawa watu wasepe zao mbele.
b
BETTER WERE COLONIAL DAYA.
 
Back
Top Bottom