battery zinazokaa na charge zaidi

battery zinazokaa na charge zaidi

g4cool

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
431
Reaction score
211
najua wengi humu tunatumia cm za android, kama samsung, htc na hata huawei, lakini tatizo kubwa za hizi cm ni ukaaji wake wa charge, sasa je kuna battery za kutoka makampuni mengine kama nokia na techno zinazokaa sana na charge ambazo unaweza kuzitumia kwenye hizo cm za android hapo juu??
 
kama unathamini sana charge then uwe tayari kutoa laki 1 pembeni pamoja na hela ya simu. zipo extended battery ambazo zinakaa na charge sana.

seido na mugen ndio watengenezaji maarufu wa hizo betry unazosema wewe hapa nitataja simu uwezo wa battery na jinsi mungen walivyoziwezesha.

1. galaxy s3 uwezo wa battery 2100mah na mungen wametengeneza 4600mah ina maana utapata power zaidi ya mara 2 ya uliyoipata

2. galaxy s4 uwezo wa battery ni 2600 na mungen wametoa battery ya 5500 mah

3. lumia 820 uwezo wa battery ni 1600mah mungen wakatengeneza 3000mah

kwa hio kaka utakua umepata idea ya ninachomaanisha. hizi betry zinauzwa bei ghali sababu utazichaji mara nyingi kabla hazijaharibika.

betry za mungen unachaji mara 500 mpaka 600 kabla hazijaanza kufulia hivyo unapata waranty ya miaka 2.

zipo za kichina za bei rahisi hata dola 10 unapata tatizo wanatumia expired material ukifikisha hata kuicharge mara 100 shukuru mungu miez mi 3 hadi 6 zinaharibika.

pia hawa jamaa mungen wametengeneza atomic battery za simu ambazo ni mah 468,000 zina nguvu mara 180 kuliko battery ya kawaida ina maana unakaa hadi miez 3 bila battery kwisha ila bei yake ni dola 500 kama laki 8 za kitanzania

batery hii ya laki 8 inapatikana kwa lumia 820, galaxy s3, note2 na galaxy s4
 
kama unathamini sana charge then uwe tayari kutoa laki 1 pembeni pamoja na hela ya simu. zipo extended battery ambazo zinakaa na charge sana.

seido na mugen ndio watengenezaji maarufu wa hizo betry unazosema wewe hapa nitataja simu uwezo wa battery na jinsi mungen walivyoziwezesha.

1. galaxy s3 uwezo wa battery 2100mah na mungen wametengeneza 4600mah ina maana utapata power zaidi ya mara 2 ya uliyoipata

2. galaxy s4 uwezo wa battery ni 2600 na mungen wametoa battery ya 5500 mah

3. lumia 820 uwezo wa battery ni 1600mah mungen wakatengeneza 3000mah

kwa hio kaka utakua umepata idea ya ninachomaanisha. hizi betry zinauzwa bei ghali sababu utazichaji mara nyingi kabla hazijaharibika.

betry za mungen unachaji mara 500 mpaka 600 kabla hazijaanza kufulia hivyo unapata waranty ya miaka 2.

zipo za kichina za bei rahisi hata dola 10 unapata tatizo wanatumia expired material ukifikisha hata kuicharge mara 100 shukuru mungu miez mi 3 hadi 6 zinaharibika.

pia hawa jamaa mungen wametengeneza atomic battery za simu ambazo ni mah 468,000 zina nguvu mara 180 kuliko battery ya kawaida ina maana unakaa hadi miez 3 bila battery kwisha ila bei yake ni dola 500 kama laki 8 za kitanzania

batery hii ya laki 8 inapatikana kwa lumia 820, galaxy s3, note2 na galaxy s4
mh lakini 8? Kah kapochi hakaruhusu
 
..........wametengeneza atomic battery za simu ambazo ni mah 468,000 zina nguvu mara 180 kuliko battery ya kawaida ina maana unakaa hadi miez 3 bila battery kwisha ila bei yake ni dola 500 kama laki 8 za kitanzania

batery hii ya laki 8 inapatikana kwa lumia 820, galaxy s3, note2 na galaxy s4......
  • ​Nimeipenda hii. Unachaji leo after three month unaanza kutafuta "jamani hivi ila charge niliyotumia mwezi july eti umeiona wapi"
 
kama unathamini sana charge then uwe tayari kutoa laki 1 pembeni pamoja na hela ya simu. zipo extended battery ambazo zinakaa na charge sana.

seido na mugen ndio watengenezaji maarufu wa hizo betry unazosema wewe hapa nitataja simu uwezo wa battery na jinsi mungen walivyoziwezesha.

1. galaxy s3 uwezo wa battery 2100mah na mungen wametengeneza 4600mah ina maana utapata power zaidi ya mara 2 ya uliyoipata

2. galaxy s4 uwezo wa battery ni 2600 na mungen wametoa battery ya 5500 mah

3. lumia 820 uwezo wa battery ni 1600mah mungen wakatengeneza 3000mah

kwa hio kaka utakua umepata idea ya ninachomaanisha. hizi betry zinauzwa bei ghali sababu utazichaji mara nyingi kabla hazijaharibika.

betry za mungen unachaji mara 500 mpaka 600 kabla hazijaanza kufulia hivyo unapata waranty ya miaka 2.

zipo za kichina za bei rahisi hata dola 10 unapata tatizo wanatumia expired material ukifikisha hata kuicharge mara 100 shukuru mungu miez mi 3 hadi 6 zinaharibika.

pia hawa jamaa mungen wametengeneza atomic battery za simu ambazo ni mah 468,000 zina nguvu mara 180 kuliko battery ya kawaida ina maana unakaa hadi miez 3 bila battery kwisha ila bei yake ni dola 500 kama laki 8 za kitanzania

batery hii ya laki 8 inapatikana kwa lumia 820, galaxy s3, note2 na galaxy s4

extraordinary details
 
kama unathamini sana charge then uwe tayari kutoa laki 1 pembeni pamoja na hela ya simu. zipo extended battery ambazo zinakaa na charge sana.

seido na mugen ndio watengenezaji maarufu wa hizo betry unazosema wewe hapa nitataja simu uwezo wa battery na jinsi mungen walivyoziwezesha.

1. galaxy s3 uwezo wa battery 2100mah na mungen wametengeneza 4600mah ina maana utapata power zaidi ya mara 2 ya uliyoipata

2. galaxy s4 uwezo wa battery ni 2600 na mungen wametoa battery ya 5500 mah

3. lumia 820 uwezo wa battery ni 1600mah mungen wakatengeneza 3000mah

kwa hio kaka utakua umepata idea ya ninachomaanisha. hizi betry zinauzwa bei ghali sababu utazichaji mara nyingi kabla hazijaharibika.

betry za mungen unachaji mara 500 mpaka 600 kabla hazijaanza kufulia hivyo unapata waranty ya miaka 2.

zipo za kichina za bei rahisi hata dola 10 unapata tatizo wanatumia expired material ukifikisha hata kuicharge mara 100 shukuru mungu miez mi 3 hadi 6 zinaharibika.

pia hawa jamaa mungen wametengeneza atomic battery za simu ambazo ni mah 468,000 zina nguvu mara 180 kuliko battery ya kawaida ina maana unakaa hadi miez 3 bila battery kwisha ila bei yake ni dola 500 kama laki 8 za kitanzania

batery hii ya laki 8 inapatikana kwa lumia 820, galaxy s3, note2 na galaxy s4

Mkuu mah 468000, ndo kwanza naisikia leo.
 
Du battery ya cm jiwe 8 na samsung galaxy s3 laki 8 jumla 1.6m hapo napata kijiwanja town au heka 4 kiwangwa.
 
Du battery ya cm jiwe 8 na samsung galaxy s3 laki 8 jumla 1.6m hapo napata kijiwanja town au heka 4 kiwangwa.

kaka maisha mafup haya atomic battery ujue zinatengenezwa na nuclear power, japo material yake yanatokana na material ya nuclear yaliyokufa lakini ni still nuclear.

hutamani kabla hujakufa na wewe kumiliki nuclear yako?
 
kaka maisha mafup haya atomic battery ujue zinatengenezwa na nuclear power, japo material yake yanatokana na material ya nuclear yaliyokufa lakini ni still nuclear.

hutamani kabla hujakufa na wewe kumiliki nuclear yako?

Mambo matamu gharama Chief,si unajua fedha zenyewe za kudunduliza sio za epa wala za ngada.
 
Back
Top Bottom