Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Baada ya kutesa kwenye mieleka ataweza shuruba za MMA?
Dave Bautista talks about MMA and leaving the WWE - ESPN
Dave Bautista talks about MMA and leaving the WWE - ESPN
Hahaaaa Bautista sidhani kama ataweza huyu....lakini tutaona. Brock Lesnar mpaka sasa kafanikiwa...Bobby Lashley yeye anasuasua....muda utatuambia