MANDEVUMENGI
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 1,279
- 3,306
Habari wakuu,
Nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.
Nimefikia kwenye hatua ya kupaua kabanda kangu kenye ukubwa wa 13×11 naomba nijue nitatumia bati pc ngap? Na mbao 2*4 ngapi na 2*2 ngapi?.pamoja na feature body ngap.Bati nitatumia zile za 87cm mapana na urefu ft 3.
NAWASILISHA.