Bata na maradhi

Bata na maradhi

MABOGOJOHA

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
541
Reaction score
427
Ninao Bata lakini wamekuwa wakilegea miguu na shingo. Pia wanaharisha mavi meupee. Naomba kufahamu tiba na hayo maradhi yanaitwaje?
 
Ninao Bata lakini wamekuwa wakilegea miguu na shingo. Pia wanaharisha mavi meupee. Naomba kufahamu tiba na hayo maradhi yanaitwaje?
Pole mkuu ila hao wana ukosefu wa madini ya calcium. Hivyo unatakiwa kununua DCP au mifupa, multvitamin (Introvit A+) na chokaa uchanganye kwenye chakula chao. Kingine jitahidi kufanya usafi wa banda pamoja na vyombo vyao vya maji na chakula.
 
Pole mkuu ila hao wana ukosefu wa madini ya calcium. Hivyo unatakiwa kununua DCP au mifupa, multvitamin (Introvit A+) na chokaa uchanganye kwenye chakula chao. Kingine jitahidi kufanya usafi wa banda pamoja na vyombo vyao vya maji na chakula.
Nashukuru sana kwa msaada wako na majibu yako. Kwa ujumla chakula chao huwa nawachanganyia Calcium na banda lao ni safi kila wakati. Kwa kweli wamenichanganya na leo asubuhi nimechinja bata kumi na nne. Hiyo dawa nitaitafuta ili kuwanusuru waliobaki.
 
Nashukuru sana kwa msaada wako na majibu yako. Kwa ujumla chakula chao huwa nawachanganyia Calcium na banda lao ni safi kila wakati. Kwa kweli wamenichanganya na leo asubuhi nimechinja bata kumi na nne. Hiyo dawa nitaitafuta ili kuwanusuru waliobaki.
Kwani wana dalili zozote za mafua? Nipigie 0753249862 tupeane ilimu zaidi
 
Nitakwenda kuwaangalia vizuri kama wana dalili za mafua halafu nitakupigia
Piga hata sasa hivi ili nijue wana shida gani kwa undani coz mimi nimewafuga kwa muda mrefu kuna kipindi wanongezeka wanafika hadi 100+ ila kwa sasa nimewapunguza sana coz nataka nianze tena upya kwa kununua majike na madume kutoka sehemu nyingine
 
Piga hata sasa hivi ili nijue wana shida gani kwa undani coz mimi nimewafuga kwa muda mrefu kuna kipindi wanongezeka wanafika hadi 100+ ila kwa sasa nimewapunguza sana coz nataka nianze tena upya kwa kununua majike na madume kutoka sehemu nyingine
Kwa bahati nilipofika nyumbani nikakuta wife ameshamuita mtaalam. Ulichonishauri kuhusu DCP nae ameshauri hivyohivyo. Nimeshanunua na wameanza tiba. Ngoja tuone maendeleo yao. Nitakufahamisha jinsi wanavyoendelea na tiba. Asante kwa kunishauri.
 
Kwa bahati nilipofika nyumbani nikakuta wife ameshamuita mtaalam. Ulichonishauri kuhusu DCP nae ameshauri hivyohivyo. Nimeshanunua na wameanza tiba. Ngoja tuone maendeleo yao. Nitakufahamisha jinsi wanavyoendelea na tiba. Asante kwa kunishauri.
Asante na karibu sana
 
Piga hata sasa hivi ili nijue wana shida gani kwa undani coz mimi nimewafuga kwa muda mrefu kuna kipindi wanongezeka wanafika hadi 100+ ila kwa sasa nimewapunguza sana coz nataka nianze tena upya kwa kununua majike na madume kutoka sehemu nyingine
Hivi kwa mara ya kwanza natakiwa nianze na majike wangapi?
 
1478243122353.jpg
nauza bata bukini wawili(jike na dume) kwa sh 300,000 tu wapo mwanza.
 
Back
Top Bottom