Heshima kwenu wakuu ninauza..bata bukini wa miezi saba mwakani wanatagaa,ninauza wanaotagaa,pia kangaa weusi,vifaranga wa miezi minne wa bata mzinga,bata mzinga wakubwa 15kg mpka 10kg.beberu la israeli 55kg ,zuri kwa wanaotaka kuzalisha mbegu..walio serious tu waje site kibamba ....bei mpka vitu husika mvione ,,piga 0754302768....