Ummu Maryam
Senior Member
- Nov 28, 2017
- 108
- 66
Panda SHABIBY BUS
Kuharibika ni jambo la kawaidaWe sema oh yeah tu kwa taarifa tu kama hujui hilo basi pichani limeharibika,siku niliyolipiga picha nilikuta bovu,me nlkuwa naelekea dar,likafaulisha abiria kwa machame investment(nb:lilikuwa linatokea singida,na hapo ni dom terminal yao area c)
We dogo wacha utani basi,, yaani utubebeshe ma.vi yako halafu tukucharge elfu 32 tu? Haiwezekani. Labda kwa vile SUMATRA waliingilia kati, lakini bei za wakati Kimbinyiko, Shabbiby, ABC wanaleta zile luxury ilikuwa ni hatari mimi nilikuwa nataka kusafiri kutokea Moro kwenda Dom nikaambiwa elfu 45 tukakorofishana nao!!USIONGOPE WEWE NI 32 ELFU TU INAKILAKITU NDANI FULL LUXURY
ILA ZIPO ZA20.26,28
hapo kwenye kimbinyiko kweliABC upper class au kimbinyiko
MWANZONI ILIIKUWA.35 LAKINI ILSHUSHWA BEI LABDA IPANDE JANA NA LEO MKUUWe dogo wacha utani basi,, yaani utubebeshe ma.vi yako halafu tukucharge elfu 32 tu? Haiwezekani. Labda kwa vile SUMATRA waliingilia kati, lakini bei za wakati Kimbinyiko, Shabbiby, ABC wanaleta zile luxury ilikuwa ni hatari mimi nilikuwa nataka kusafiri kutokea Moro kwenda Dom nikaambiwa elfu 45 tukakorofishana nao!!
KHAAA!MSHIKAMANO liko poa sana
Acha.kumdanganya mwenzako katika ABIRIA 65 MAFUNDI NI 20Super champion ndio habari ya mjini mengine wezi tu maana bus hakuna first class ni wizi mtupu
old is goldAcha.kumdanganya mwenzako katika ABIRIA 65 MAFUNDI NI 20