SHABIBY hana mpinzani, ni full luxury!! Chukua mchuma huo.
Wandugu ni basi gani zuri la Dar to Dom kuanzia kumi na mbili asubuhi au saa moja asubuhi lenye AC na charging system.
Amna. Kuna badhi ya magari yao yameshajichokea. Mwanzoni yalikuwa mazuri sana sasaiv utajutia nauri yako mkuu.Kimbinyiko wako vizuri hata km wacare abiria sana tuwape heshima yao
Hii mashine nimewahinpanda, dah! Very comfortable, napendekeza wote wanaoenda Dom wapande hii mashine.![]()
Mwambie aandae elfu 35
Oooh yeeah

Afu umenikimbia kule kwa majaliwa hebu njoo tafadhaliOooh yeeah![]()
We sema oh yeah tu kwa taarifa tu kama hujui hilo basi pichani limeharibika,siku niliyolipiga picha nilikuta bovu,me nlkuwa naelekea dar,likafaulisha abiria kwa machame investment(nb:lilikuwa linatokea singida,na hapo ni dom terminal yao area c)Oooh yeeah![]()
Mmh,We sema oh yeah tu kwa taarifa tu kama hujui hilo basi pichani limeharibika,siku niliyolipiga picha nilikuta bovu,me nlkuwa naelekea dar,likafaulisha abiria kwa machame investment(nb:lilikuwa linatokea singida,na hapo ni dom terminal yao area c)
Dah nakumbuka 2013 nililitumia kama mara 3 uzuri Dom unafika saa sita kamili sema walikuwa rough sana barabarani full kushindana na mohamed transchampion jamani tehetehe natania tu mjomba
SHABIBYWandugu ni basi gani zuri la Dar to Dom kuanzia kumi na mbili asubuhi au saa moja asubuhi lenye AC na charging system.
USIONGOPE WEWE NI 32 ELFU TU INAKILAKITU NDANI FULL LUXURYMkumbusheni pia nauli yake Dar-Dom elfu 60 asifikri nauli sawa na Kilimanjaro Express!