Basi zuri Dar to Kahama

Basi zuri Dar to Kahama

City boys, au kisbo tena kisu cha ngariba..
 
Panda Mabasi Haya Kutoka Dar Hadi Kibondo
Adventure Connection
Saratoga
Mvula

Hayo Ni Mabasi Kutoka Dar Kwenda Kigoma Kupitia Kahama Na Hapo UtakuwA Na Uhakika
 
Panda Mabasi Haya Kutoka Dar Hadi Kibondo
Adventure Connection
Saratoga
Mvula

Hayo Ni Mabasi Kutoka Dar Kwenda Kigoma Kupitia Kahama Na Hapo UtakuwA Na Uhakika
wakuu vipi kwa sasa dar to kibondo inacost kiasi gani???
 
Panda Mabasi Haya Kutoka Dar Hadi Kibondo
Adventure Connection
Saratoga
Mvula

Hayo Ni Mabasi Kutoka Dar Kwenda Kigoma Kupitia Kahama Na Hapo UtakuwA Na Uhakika
Fwata ushauri huu 👆 panda bus la moja kwa moja tena ukifika pale ubungo usijifanye mjuaji uliza kbs kuwa unataka bus za Dar to kigoma via kahama, Maana yapo mengine ya Dar to kigoma via Tabora,Kaliua then Uviza route hii utopita kibondo japo Bus zote tanjwa hapo juu zinapita route zote mbili per day kwaiyo be careful usije kosea route yako 🤔
 
Back
Top Bottom