Basi tu sasa ntafanyaje

Basi tu sasa ntafanyaje

Eeeh....kuna watu wanakerwa na vitu vidogo kama hivi eeh?
 
Jamani ni juzi tu hapa nimeanza mahusiano na binti moja wa kimwasi kiukweli nampenda ila sasa, ameanza katabia cha kuniita pamoja na kunitumia message zenye kiianzio cha "Hubby" na kiishio cha neno hilo hilo.

Yaani kusema ukweli nakereka basi tu yeye hajui na bado hajagundua kwamba nachukia, kiukweli mi sifagilii ndo kwanza mahusiano yako katika ngazi ya kijiji yaani bado kabisa.

bwahahahahahahaa! umenichekesha kweli, sasa wewe ukiitwa hubby adrenaline inamwagika?? unahisi kama kuna siku utaamka asubuhi ujikute umemuoa au? hii ni wazi kuwa huna mpango nae otherwise kuitana hubby, honey, sijui sweet potato hizo ni mbwembwe tu za mahaba mahabani
 
Back
Top Bottom