...wanawake ni SILAHA hatari sana ambayo hutumiwa na SHETANI kumwangamiza Mwanamume.
ADAMU aliangushwa na shetani kupitia EVA (HAWA),
SAMSON aliangushwa na shetani kupitia DELILA,
YOHANA mbatizaji aliuawa kikatili kupitia BINTI HERODIA:
YUSUFU alifungwa MISRI kupitia mke wa mfalme.
Mfalme DAUDI alianguka kupitia mke wa Huria.
Hivi KARIBUNI KANUMBA alianguka kupitia LULU. Unahitajika umakini zaidi, ukiona unaitwa BABY wakati unajijua wewe ni mtu mzima na midevu yako jua upo hatarini kuumia...