Basi la shule

Atakuwa anaakili sana,wanaosoma hapo wanakuwaga wapole sana,wanyenyekevu sana,na wadadisi mno.
 
Mdau hiyo shule inapatikana Kenya. kama una mtoto unaweza peleka, bahati mbaya mimi hata wa kusingiziwa sina!!!
 
jina la shule halina mahusiano na elimu inayotolewa na shule husika, tatizo letu ni kutafsiri kwa tunavyofikiria ila ukichunguza kwa makini utaona ni kawaida tu kama yalivyo maneno mengine.
 
mambo ya mtandaoni yanajirudia rudia. Hii photo ilishauza nyago sana mitandaoni kipindi cha nyuma.<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35959&amp;stc=1" attachmentid="35959" alt="" id="vbattach_35959" class="previewthumb size_large" /><br /><br />
<br /><br />
Assume mtoto wako anasoma hii shule...!
<br /><br />
<br />
 
Hii ni shule kama shule nyingine, inamaana Mwitah25,alifanya kosa kusoma hapa? au umemuona ana mapungufu yeyote? lol


HA HA HA HA AHAHAHAHAHAHAHAHHAHA ndo maana anafikiria kupitia Masaburi kumbe kaanzia mbali eehh? ngoja aje..
 
Hilo ni jina tu. Mbona kuna mchezaji wa NIgeria anaitwa Emana kwa Kihaya ni ..............???
 
hii picha ilishatoka muda mrefu humu,wengine nahisi walikuwa bado sio memba!!!!lakini picha na maudhui hayana shida kabisa....!!!kila neno lina maana yake kwa jamii na lugha husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…