Basi la Mwanza - Dar

Basi la Mwanza - Dar

Jerry de Marco

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
213
Reaction score
41
Wadau npo Mwanza na wiki ijayo nategemea kwenda Dar,sasa basi gani ni zuri kwa kusafiria ambapo bei zake ni nzuri na pia speed ni ya uhakika na hawasimami hovyo njiani.Nipeni mawazo yenu wadau....
 
Wadau npo mwanza na wiki ijayo nategemea kwenda dar,sasa basi gani ni zuri kwa kusafiria ambapo bei zake ni nzuri na pia speed ni ya uhakika na hawasimami hovyo njiani.Nipeni mawazo yenu wadau....

panda zuberi mkuu. iko ya 2 by 2. utafurahia safari yako. nauli pia iko poa.
 
Wadau npo mwanza na wiki ijayo nategemea kwenda dar,sasa basi gani ni zuri kwa kusafiria ambapo bei zake ni nzuri na pia speed ni ya uhakika na hawasimami hovyo njiani.Nipeni mawazo yenu wadau....

Zuberi haina mpinzani kwa kila ki2
 
Zuber 2 by 2 na nauli ni 40000 tu haipungui wala haiongezeki.
 
Back
Top Bottom