Jerry de Marco
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 213
- 41
Wadau npo Mwanza na wiki ijayo nategemea kwenda Dar,sasa basi gani ni zuri kwa kusafiria ambapo bei zake ni nzuri na pia speed ni ya uhakika na hawasimami hovyo njiani.Nipeni mawazo yenu wadau....