sayi_bugise
Member
- Jan 20, 2017
- 51
- 30
RIP
Hata mm nimeshangaa....kama basi za Kauru 1989Kumbe mabasi ya namna hii bado yapo..!
Hivi basi kama hilo linakuwa na insurance?
View attachment 463566 View attachment 463567 Mkuu huo ndio usafiri wa sehemu za Tanzania,kuna maeneo bado mtu anakaa seatbmoja na mbuzi pamoja na kuku
japo nna mackitiko ila imebd ncheke tu. yan umri wa bas unazid wa dereva na konda wake.umri wa basi unazidi wa dereva! sijui vipuri vinapatikana wapi? au wanakazia kamba bora injini izunguke. poleni sana wafiwa. majeruhi nawatakia uponyaji wa haraka.
Miaka 37Hili basi lina umri gani?
Sio mufindi ni kilolo pia gari za kampuni ya kwacha kwasasa ni nzur sana ameleta nyinginePoleni wadimi, ila jamani mkoa wa Iringa unaongoza kwa mabasi mabovu na ya kizamani.Hasa wilaya ya Mufindi mabasi ya Kwacha tokea 1980 hadi leo yapo barabarani.Iringa mjiongeze bhana!