Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

RIP kosa ni la wana usalama barabarani, hyo kitu imetoka hadhi ya basi ni kitu kingine kabisa
 
Poleni Wafiwa! Ugua Pole Majeruhi, Ila Mamlaka Husika Wayaangalie Haya Magari
 
image.jpeg
image.jpeg
Mkuu huo ndio usafiri wa sehemu za Tanzania,kuna maeneo bado mtu anakaa seatbmoja na mbuzi pamoja na kuku
Hivi basi kama hilo linakuwa na insurance?
 
Dah huu ndo usafir wangu wa kwenda huko nakotafutia ridhiki...yaan ingekuwa ijumaa au jumatatu nadhan ningekuwa nimrest in peace maana ndo siku nazosafir na huu mdubwana
 
umri wa basi unazidi wa dereva! sijui vipuri vinapatikana wapi? au wanakazia kamba bora injini izunguke. poleni sana wafiwa. majeruhi nawatakia uponyaji wa haraka.
japo nna mackitiko ila imebd ncheke tu. yan umri wa bas unazid wa dereva na konda wake.
 
Poleni wadimi, ila jamani mkoa wa Iringa unaongoza kwa mabasi mabovu na ya kizamani.Hasa wilaya ya Mufindi mabasi ya Kwacha tokea 1980 hadi leo yapo barabarani.Iringa mjiongeze bhana!
 
Poleni wadimi, ila jamani mkoa wa Iringa unaongoza kwa mabasi mabovu na ya kizamani.Hasa wilaya ya Mufindi mabasi ya Kwacha tokea 1980 hadi leo yapo barabarani.Iringa mjiongeze bhana!
Sio mufindi ni kilolo pia gari za kampuni ya kwacha kwasasa ni nzur sana ameleta nyingine
 
Back
Top Bottom