Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

Basi la Kampuni ya Vitu Line lapata ajali Iringa

Sio mufindi ni kilolo pia gari za kampuni ya kwacha kwasasa ni nzur sana ameleta nyingine
Ndio njia hiyohiyo Nyabula Kilolo Kidabaga Boma la ng"ombe itelewasi hadi Mufindi.Huko unazikuta ngalangala za Kwacha na Upendo.Basi wanalolisifia ni Mwafrika la Idete kijijini kwa mbunge
 
RIP MAREHEMU. ..WAGONJWA MPONE UPESI. ..
 
Unasema basi limepata ajali likiwa linaingia mjini?
Yani kumbe hapo ndo mjini???
Huko kijijini kutakuwaje sasa?
 
Back
Top Bottom