Basi la Kampuni ya Princess Muro lapata ajali Morogoro!

Basi la Kampuni ya Princess Muro lapata ajali Morogoro!

Dotto Mnzava

R I P
Joined
Mar 6, 2014
Posts
864
Reaction score
427
Basi la Kampuni ya Princess Muro, limepata ajali jioni hii Jumatano Mei 7, 2014 katika eneo la Mikumi mkoani Morogoro likitokea Mkoa wa Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam kwa kuacha njia na kupinduka.
attachment.php


Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika, yeyote ambaye amefanikiwa kufika katika eneo hilo au kuwa na taarifa zaidi tunaomba atuambie.
 

Attachments

  • PRINCE MURO.jpg
    PRINCE MURO.jpg
    50.8 KB · Views: 3,419
Nilishawai wai kuzungumzia hili bus hapa jf na nikasema no magari ya ovyo sana tairi azina
 
ukija jf njoo na hbr iliyokamilika. Waliokufa,majeruh na athar zilizopatkana. Hufai kuwa mwana habar
Ndio maana amejitahidi kwa kila alipoweza kufikisha taarifa alizozipata yeye, kama kuna mwingine mwenye taaarifa zaidi atatujuza, sidhani kama kuna tatizo lolote kwa alivyofanya mleta taarifa
 
Nilishawai wai kuzungumzia hili bus hapa jf na nikasema no magari ya ovyo sana tairi azina


Ni kweli nami nakumbuka na baadhi ya wanajamvi wakaona kama unachuki binafsi vile ati!
 
Basi la Kampuni ya Princess Muro, limepata ajali jioni hii Jumatano Mei 7, 2014 katika eneo la Mikumi mkoani Morogoro likitokea Mkoa wa Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam kwa kuacha njia na kupinduka.
attachment.php


Chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika, yeyote ambaye amefanikiwa kufika katika eneo hilo au kuwa na taarifa zaidi tunaomba atuambie.

Hizi taarifa zinakanganya nimeona taarifa kwenye blog moja inasema basi lilitokea Njombe kwenda Dar na picha ni tofauti baina ya hii na ya blog
 

Attachments

  • 1399478090969.jpg
    1399478090969.jpg
    13.8 KB · Views: 388
Hizi taarifa zinakanganya nimeona taarifa kwenye blog moja inasema basi lilitokea Njombe kwenda Dar na picha ni tofauti baina ya hii na ya blog

picha zipo sawa mkuu, ya mwanzo imepigwa kwa ubavuni na hii yako imepigwa kwa mbele!!
 
Haya mabasi sinto kaa nipande tenaa ....Mwaka jana Chrismass nilitoka Dar saa 12 asubuhi nikafika Arusha saa 4 usiku...
Nadhani kwa uzoefu wako ulipaswa kushukuru kwamba basi lilikuwa linakwenda mwendo wa taratibu na hivyo ama kupunguza uwezekano wa ajari au kupunguza ukubwa wa madhara endapo ajari ingetokea.

Nadhani mwendekasi unahusika sana kwenye hizi ajari.
 
Haya mabasi sinto kaa nipande tenaa ....Mwaka jana Chrismass nilitoka Dar saa 12 asubuhi nikafika Arusha saa 4 usiku...
Nadhani kwa uzoefu wako ulipaswa kushukuru kwamba basi lilikuwa linakwenda mwendo wa taratibu na hivyo ama kupunguza uwezekano wa ajari au kupunguza ukubwa wa madhara endapo ajari ingetokea.

Nadhani mwendokasi unahusika sana kwenye hizi ajari.
 
Kufunga mikanda ni muhimu sana,kwa harakaharaka tu ninaona uwezekano mkubwa kwamba wale waliofunga mikanda inawezekana hawakupata madhara makubwa.

Naona viti havijaharibika sana.
 
Back
Top Bottom