wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Nadhani linaongoza kwa kukimbia njia ya Mwanza Arusha,hatari sana hiloaBasi la Kampuni ya KIAZI KITAMU lenye Namba ya Usajiri T 889 DKL linalofanya safari zake Kutoka Mwanza kwenda Arusha limepata ajali na kudondoka eneo la Misungwi Mkoani Mwanza Leo alfajiri ya 23/03/2023....
Hilo ndio Gari ambapo route ya mwanzađź”›Arusha linamwendo Mdogo Sana sio tuu kwenye kampun bali kwa Gari zote.Nadhani linaongoza kwa kukimbia njia ya Mwanza Arusha,hatari sana hiloa
Mgamba na Asante Rabi ndo ukisikia ajali zake ujue kuna R I.PNadhani linaongoza kwa kukimbia njia ya Mwanza Arusha,hatari sana hiloa
Unadhani . Ina maana Huna uhakika.Nadhani linaongoza kwa kukimbia njia ya Mwanza Arusha,hatari sana hiloa
Mgamba anaenda mwanza mkuu?Mgamba na Asante Rabi ndo ukisikia ajali zake ujue kuna R I.P
Scania 320 iyo mzee. Alafu ndani 3Ă—2Hilo ndio Gari ambapo route ya mwanzađź”›Arusha linamwendo Mdogo Sana sio tuu kwenye kampun bali kwa Gari zote.
Ipo chuma ambayo Kiazi Kitamu hawawezi iuza na Asante rabi anaiombea mabaya hyo inawakilishwa na plate number DGE hapo hata KATARAMA na Ally's wanasubiri
Mgamba na Asante Rabi ndo ukisikia ajali zake ujue kuna R I.P
Pole SANA kwa wasafiriBasi la Kampuni la KIAZI KITAMU lenye Namba ya Usajiri T 889 DKL linalofanya safari zake Kutoka Mwanza kwenda Arusha limepata ajali na kudondoka eneo la Misungwi Mkoani Mwanza Leo alfajiri ya 23/03/2023.
Taarifa za Vifo bado hatujapokea zaidi ni majeruhi ya wahanga wa ajali hiyo.