paul milya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 285
- 93
weka picha mkuu
ajali imetokea wapi mkuu?
ajali imetokea wapi mkuu?
Nitajitahidi mara nipatapo kupitia Whatssap kwani jamaa anazo picha full.
Mkuu ni ya leo hiiau maktaba? Mbona sioni posibility ya ajali ya namna hii kusababisha vifo? Labda kwa wapita njia na kama ni burst basi ilikuwa kwenye mwendo wa kawadia sana hata 80KPH ni kubwa.