Basi la Ihowanja Kwetu laua sita!

Basi la Ihowanja Kwetu laua sita!

KILIVITE

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
1,302
Reaction score
556
Basi dogo maarufu kama Ihowanja kwetu linalomilikiwa na kada maarufu wa CCM wilayani Ulanga Mark Asenga ambaye pia ni diwani wa Mahenge limepata ajali katika barabara mbovu kuliko zote duniani maeneo ya Lwambanjuki karibu na kijiji cha Iragua na watu wanne kufa papo hapo na wengine wawili kufia njiani wakielekea hospitali,mmoja kati ya waliokufa ni mdogo wake Mark Asenga ambaye alikuwa msimamizi katika gari hilo.Pichani ni basi hilo kabla ya ajali.

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 
RIP marehemu wote,poleni wafiwa na tumuombe Mungu awape awape nafuu majeruhi.Mkuu mbunge ni nani huko?
 
RIP marehemu wote,poleni wafiwa na tumuombe Mungu awape awape nafuu majeruhi.Mkuu mbunge ni nani huko?

Mbunge wa Ulanga Mashariki ni Celina Kombani, Magharibi eneo ajali ilipotokea ni Ndg Mponda aliyekuwa Waziri wa afya na aliyemrithi Ngasongwa aliyetawala zaidi ya miongo miwili bila hata chembe ya maendeleo kwa watu wa Kivukoni,Minepa,Lupiro,Iragua,Itete,Mtimbira,Sofi,Ihowanja,Biro na Malinyi,Mkuu huku hakuna umeme,barabara ni janga,maisha kwa ufupi ni kama tuko kabla ya uhuru!
 
Mbunge wa Ulanga Mashariki ni Celina Kombani, Magharibi eneo ajali ilipotokea ni Ndg Mponda aliyekuwa Waziri wa afya na aliyemrithi Ngasongwa aliyetawala zaidi ya miongo miwili bila hata chembe ya maendeleo kwa watu wa Kivukoni,Minepa,Lupiro,Iragua,Itete,Mtimbira,Sofi,Ihowanja,Biro na Malinyi,Mkuu huku hakuna umeme,barabara ni janga,maisha kwa ufupi ni kama tuko kabla ya uhuru!

Poleni sana,mnatoa mawaziri wengi lakini maendeleo hakuna.Vipi samaki wanapatikana kwa wingi mto Kilombero?
 
Poleni sana,mnatoa mawaziri wengi lakini maendeleo hakuna.Vipi samaki wanapatikana kwa wingi mto Kilombero?

Mkuu Sangomwile samaki wamejaa tele wa aina ya kambare,kitoga,perege,njege,njuju,ndungu,ngogo,mbala n.k!Japo wanufaikao wengi ni wafanyabiashara haramu ambao wanalangua na kuwasafirisha sehemu mbalimbali kama kitoweo!!Karibu pilau la kambale hapa!
 
Mkuu Sangomwile samaki wamejaa tele wa aina ya kambare,kitoga,perege,njege,njuju,ndungu,ngogo,mbala n.k!Japo wanufaikao wengi ni wafanyabiashara haramu ambao wanalangua na kuwasafirisha sehemu mbalimbali kama kitoweo!!Karibu pilau la kambale hapa!

KILIVITE nashukuru sana,mlamu kaliandili nao wanapatikana?tonge na ngodoe mchuzi haaa!
 
Last edited by a moderator:
haaa kumbe kuna wandamba wenzangu humu mwabambo awijee . Barabara za kule nyumba ni kama unaenda jehanamu. Tupia majina mlongo kilivite. polenimajerui ..r.i.p
 
haaa kumbe kuna wandamba wenzangu humu mwabambo awijee . Barabara za kule nyumba ni kama unaenda jehanamu. Tupia majina mlongo kilivite. polenimajerui ..r.i.p

Majina nitatupia muda si mrefu maana yanahitaji uhakika!!
 
haaa kumbe kuna wandamba wenzangu humu mwabambo awijee . Barabara za kule nyumba ni kama unaenda jehanamu. Tupia majina mlongo kilivite. polenimajerui ..r.i.p

Awije bambo,ukayumuka?abasha ya ukaya?
 
Polen majeruh.njia zahuko nimbaya.naumeme ikinyesha tu mvua wanakata. kivukon,minepa,lupiro,igota ikunguwa hadi mahenge
 
HAWIJE MUTWA, POLI MANI MWAYETU. MULUNGU CHIBIDU BAMBU.Mbona somba njee mwisemwa?
 
Mbunge wa Ulanga Mashariki ni Celina Kombani, Magharibi eneo ajali ilipotokea ni Ndg Mponda aliyekuwa Waziri wa afya na aliyemrithi Ngasongwa aliyetawala zaidi ya miongo miwili bila hata chembe ya maendeleo kwa watu wa Kivukoni,Minepa,Lupiro,Iragua,Itete,Mtimbira,Sofi,Ihowanja,Biro na Malinyi,Mkuu huku hakuna umeme,barabara ni janga,maisha kwa ufupi ni kama tuko kabla ya uhuru!

Na kwa akili zenu za matope mkaichagua trna CCM. POOOOLE
 
Back
Top Bottom