PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
wataishia kua na basi zuri ubingwa no!
hao mabingwa wanalo?..wenzao wana kiwanja safi, wao kazi ni porojo tu na kufanya kazi kwa kutumia maneno.
wataishia kua na basi zuri ubingwa no!
Hii kitu imepanda bei kimya kimya asee!!!SISI tunangoja la kupewa na TBL
Aise jamaa wametsha
mpaka wamevta Yutong
Kuna tofauti kubwa kati ya timu ya mtu binafsi(ukoo) na timu za wanachama unakosea sana unapofananisha simba.yanga na azam,unatakiwa kuifananisha azam na tp mazembe ya moses katumbi cos ni club zinazo milikiwa na mtu,simba na yanga zitabaki kuwa lengend timu cos hapa mapato zinapokutana zinyewe hufika hadi bilioni,so mabac yetu yanakuja kwa udhamini wa tbl,tunaipongeza azam na si kutubeza sisi kwa mafanikio yao ss tunayachukua kama changamoto tu,ila sio kutubeza
Kawaida unamaanisha nini????Basi la kichina million 138 vat including so ni kawaida wanunue irizar polo ya brazil ndio tusifie mchezaji anakaa kwenye basi masaa 8 bila kuchoka