Basi la Abood ni wahuni

Basi la Abood ni wahuni

Ushafika Mbezi? au Una Snitch ukiwa kwenye seat namba ngapi Mkuu?
 
Hawa jamaa ni viazi kabisa,tena bora hata kipindi hiki watasingizia sikukuu. Mi nilipanda mwezi October nikachoka kabisa. Ukiyaona kwa nje mabasi mazuri sana unayatamani,ila huduma sasa utasema wapo vijijini. Sirudii tena
 
Dar Moro yapo mabasi mengi sana
 
Tuache na abudu basi yetu watu wa mlogolo, wengine tumekuwa tukiipanda toka 1986 kiroho safi tu, kama wamekukera isiwe tabu panda jengine, mabasi yapo mengi! Soko huria hili!
 
Dah nauli yako shuka tembea kwa miguu, Dar -moro sio mbali
 
Nimepanda basi no T819DXJ sasa hivi kutoka Moro kwenda Dar wanapakia abiria mpk kwny corridor.
Asante sana kwa Taarifa nalifanyia kazi Muda sio Mrefu utaleta majibu hapa

Tunasisitiza Abiria wetu mnaopenda kupanda Basi Letu laAbood ni kosa kubwa sana kutokukaa kwenye Siti yako
Kwanza kwa usalama wako endapo chochote kitatokea pili sio Ustraabu kwa nyakati hizi

Tatu tunapoteza mapato kama Taasisi yetu Sisi

Ninamfanyia kazi haraka huyo Dreva naomba Ulete mrejesho hapa
 
Back
Top Bottom