Hongera, nasubiri mrejesho kwa mtoa uzi.Asante sana kwa Taarifa nalifanyia kazi Muda sio Mrefu utaleta majibu hapa
Tunasisitiza Abiria wetu mnaopenda kupanda Basi Letu laAbood ni kosa kubwa sana kutokukaa kwenye Siti yako
Kwanza kwa usalama wako endapo chochote kitatokea pili sio Ustraabu kwa nyakati hizi
Tatu tunapoteza mapato kama Taasisi yetu Sisi
Ninamfanyia kazi haraka huyo Dreva naomba Ulete mrejesho hapa
Konda... Umekasirika sana. Jamaa anakuchongea? 😂Abood siyo wahuni, Ila abiria nyie ndo wangese! Na huwa mnalazimisha sana mfike hataka mbwa nyie!
Ungetuma na picha bob.tuone uhuni na umalaya wao.Nimepanda basi no T819DXJ sasa hivi kutoka Moro kwenda Dar wanapakia abiria mpk kwny corridor.