Basi kampuni ya Kilimanjaro Express lapata ajali

Basi kampuni ya Kilimanjaro Express lapata ajali

kwa nini huongelei barabara ?

kama hujawahi kuendesha hata gari dogo kutoka mkoa kwenda mkoa huwezi kuelewa

highway zetu ni single lane, kila baada ya dakika tano kumi dereva unalazimika kufanya life and death decision ya ku overtake... nchi nyingine katikati ya barabara kuna barrier.... hakuna overtake za kukutana uso kwa uso na gari la upande wa pili... tatizo moja kubwa ni barabara
Kwa hiyo Kilimanjaro ndiyo wamejua leo hili tatizo?
 
Si kweli njia panda ni kwingine na himo ni kwingine mzee
mtu wa himo anapanda gari kwenda njia panda ili apande basi za dar.
HAPANA
Hata Njia Panda yenyewe ni Himo.
Kwa nini?
Ulichoongea wewe ni hiki hapa👇
Screenshot_20230715-160012_Maps.jpg


Ila pia, ukijaribu kuzoom utaona zaidi kama hivi👇
Screenshot_20230715-160117_Maps.jpg


Na kuona eneo la himo lilivyo lipana. Nazungumza kama mzoefu wa haya maeneo.
 
Asante kwa taarifa
Ila broo wangu hapo sio njiapanda ya kwenda himo,hapo ni Kisangara kama unakwenda bwawa la nyumba ya Mungu
 
Back
Top Bottom