Basi gani zuri la Mwanza - Mbeya?


Ulipanda gari gani mkuu?
 
super shem ila anazo aina mbili zhongtong Caesar na za kawaida mbeya saa sita hivi unaingia. kwa maelezo zaidi tembelea page moja FB inaitwa WASAFIRI TANZANIA utapata info zote. na picha za hizo basi.

Hapa nazani atapata zaidi
 
Panda mmt,mbogos,kajoi,rundugai,hindocha,Sinai yote yako vizuri
 
Mwanfupe yuko sahihi mi kwetu ni mwanza mbeya nafanya kaz hilo super shem ni zaid ya guta kama vp lala dodoma Kisha panda kimbinyiko au shabiby kuja huku mbeya
 
Mwanfupe yuko sahihi mi kwetu ni mwanza mbeya nafanya kaz hilo super shem ni zaid ya guta kama vp lala dodoma Kisha panda kimbinyiko au shabiby kuja huku mbeya

Itanigarim bei gani kuzungukia dodoma?
 
Acheni maneno mengi.panda ulamaa.ndama jeuri.mbogo akamuliwi maziwa.cost. line
 

Acha basi, mbona mabasi ya mwanza mbeya yapo...
 
Mwanfupe yuko sahihi mi kwetu ni mwanza mbeya nafanya kaz hilo super shem ni zaid ya guta kama vp lala dodoma Kisha panda kimbinyiko au shabiby kuja huku mbeya

Itilo,ipilili,nyasa,nhonge,kashishi .
 
Na kwa mwendo wa sahivi wa tochi ni lazima upige magoti kwenye gari, safari ya masaa 6 sahivi ni masaa 10
 
Labda kama limeachia route,lakini lilikuwepo Super sami,shahidi ni baba yangu mzazi,alisafiri nalo vizuri mpaka mbeya,aliingia saa 5 usiku.
 

Unapotosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…