Ally's wazinguaji mkuu, nishasafiri nao zaidi ya mara tatu.Kisbo
Ally's
Zuberi
Dar lux
Tanzanite
Hayo yamenikuta jana kutoka mbeya kuja mwanza, mpaka sasa hivi nina usingizi.Ally's ,tanzanite or happy nation... safari ya mwanza ukijichanganya kwenye bus lazima ujute..kuna siku niliingia mwanza saa 11 Alfajiri 😂
Uzinguaji wao ni upi? mie nasafiri mara kwa mara na Ally's sijawahi jutia safariAlly's wazinguaji mkuu, nishasafiri nao zaidi ya mara tatu.
Wana tabia ya kufika shinyanga wanashusha abiria wa mwanza mnakaa pale kusubiri basi jingine la kutoka sehemu nyingine liwapitie, kero kubwa sana kwangu hyoUzinguaji wao ni upi? mie nasafiri mara kwa mara na Ally's sijawahi jutia safari
Pole sana kwa hiyo experienceWana tabia ya kufika shinyanga wanashusha abiria wa mwanza mnakaa pale kusubiri basi jingine la kutoka sehemu nyingine liwapitie, kero kubwa sana kwangu hyo
Sio ya jpm naomba nikurekebishe ...ni ya Watanzania...Dar lux ni nzuri ila unaweza ujibane uje na "the wings of kilimanjaro ya jpm" fasta unadondoka rock city.
Ili ufike mapema mkuu, panda ndege tu , hakuna namnaHabari za asubuhi wana JF? Ni tumaini langu kwamba hamjambo wote humu ndani pamoja na familia zenu.
Lengo kubwa la uzi ni kwamba natarajia kusafiri kwenda mkoani Mwanza siku ya Jumatatu.
Hivyo ndugu zanguni naomba kujua ni basi gani ni zuri na lina uhakika wa kufika Mwanza mapema.
Ahsanteni sana.