Bashite tulia tu, star tv haiwezi kukuvusha

ubuntuX

JF-Expert Member
Aug 18, 2014
1,970
2,184
wakuu

katika kuendelea na utekelezaji wa azimio la wahariri, leo nijaribu kubadili channel ile tarifa ya habari na kuweka star tv
ajabu nikakuta wanarusha habari ya huyu Bashite, yaani kumbe hiki kituo humrusha na kumtangaza lakini jamaa kafifia saaaaaana wala hata hasikiki aiseee


nitoe rai yangu kwa huyu Bashite na sahara media kwa ujumla wake, hii kitu hamtafanikiwa kamwe zaidi iyo media imepoteza mvuto tu

bora mngewachana na Bashite asubiri Tv yake kupitia kwa jina la Le mutuz kwani yule jamaa (lemutuz) hana pesa ya kuinvest vitu kama hivyo!

hutafanikiwa bashite, bora ukae kmya
 
wakuu

katika kuendelea na utekelezaji wa azimio la wahariri, leo nijaribu kubadili channel ile tarifa ya habari na kuweka star tv
ajabu nikakuta wanarusha habari ya huyu Bashite, yaani kumbe hiki kituo humrusha na kumtangaza lakini jamaa kafifia saaaaaana wala hata hasikiki aiseee


nitoe rai yangu kwa huyu Bashite na sahara media kwa ujumla wake, hii kitu hamtafanikiwa kamwe zaidi iyo media imepoteza mvuto tu

bora mngewachana na Bashite asubiri Tv yake kupitia kwa jina la Le mutuz kwani yule jamaa (lemutuz) hana pesa ya kuinvest vitu kama hivyo!

hutafanikiwa bashite, bora ukae kmya
By the way hata Le Mutu hana follower wa hiivyooo ... zaidi ya wanaomnanga tu!!!
 
Back
Top Bottom