Vipi kuhusu ndugu kipara kipya?Nape ni wale wasanii wenye uwezo wa kunata na beat ila ni muhuni mmoja mwenye kupenda kusifiwa na kujihisi anajua!
Vipi kuhusu ndugu kipara kipya?Nape ni wale wasanii wenye uwezo wa kunata na beat ila ni muhuni mmoja mwenye kupenda kusifiwa na kujihisi anajua!
Nape anazungumzia Mali za taifa wewe unazungumzia Mali za CCM, Mali za CCM zikajadiliwe bungeni izo ni akili matope, dust dust, izo Mali za CCM mtajadili kwenye chama , si tunachohitaji kufahamu ela za
Mali za CCM wanatoa wapi hao CCM kama hiyo ONE BIL. nayo walijimilikisha je?Nape anazungumzia Mali za taifa wewe unazungumzia Mali za CCM, Mali za CCM zikajadiliwe bungeni izo ni akili matope, dust dust, izo Mali za CCM mtajadili kwenye chama , si tunachohitaji kufahamu ela za mkopo zimetumika vipi, Mana tuliambiwa kwamba sisi ni donor country. Nape yupo sahihi.
Acha upuuzi tunataks tujue matumizi ya mkopo wa 9trilionTangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Kelele zote zenye tuhuma kutoka mtoto wa kuasili wa Brigedia Moses Nnauye dhidi ya awamu ya tano ya hayati JPM zinathibitisha hayaTangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Kwani ccm mmekosa sehemu ya kuisoma hiyo ripoti yenu mpaka mpaka mbebeshe mzigo wananchi wa tanzania?Tangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Mimi na Bashiru ni tofauti sana, Bashiru alikuwa UDSM sijui kama amewahi to make any money zaidi ya mshahara, mimi nilikuwa nalipa kodi ya Ma Ma Wakurugenzi 2, Ma RC 3, na Ma DC 5!, niteuliwe ili iweje?. Kitu muhimu ni kurudishiwa tuu zile tenda zangu, tumsaidie Samia kuwalipa mishahara hao wakurugenzi wake 2, ma RC watatu na ma DC 5!.Pasco maneno hayo....siku ukipewa uteuzi utakata? Au utayameza maneno yako?
Muulize mwenzio Bashiru
Ccm ya mataga/lucifer bhana,deni la taifa linawahusu watanzania wote na mali za ccm pambaneni ccm wenyeweTangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Hayati Magufuli hajatuhumiwa kuiba na wala Nape hajatoa tuhuma za wizi.Tangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Ajaribu kumwaga ugali halafu wazoefu wamwage mboga. Bashiru ni mchanga sana kwenye siasa usimuweke kwenye kundi la wazoefu wa chama Chao Cha CCM.Ukaguzi wa Mali za CCM uligundua mengi ikiwemo upigaji uliofanywa na akina Nape Nnauye
Ile ripoti kuifanya Siri hamkuitendea haki nchi na wananchi
Wizi wa Akina Nape ulistahili kuanikwa wazi ona Sasa akina Nape wanatamba sana utafikiri hawajawahi kuwa wezi kuibia CCM
Ripoti ile itolewe hadharani
Mkaldayo mbona umeniquote kwenye comment hiyo?
Nimeongelea kuwa hawakutenda haki yeye na Magufuli pia na Mama Samia ile ripoti baada Raisi na makamu wake Samia na Bashiru walitakiwa wa take action bila kujali tofauti zao na mitizamo yao kwa faida ya nchi na chamaAjaribu kumwaga ugali halafu wazoefu wamwage mboga. Bashiru ni mchanga sana kwenye siasa usimuweke kwenye kundi la wazoefu wa chama Chao Cha CCM.
Hawezi kujaribu aisee Kuna mmoja ameshika mpini mwingine kashika jembe
Mkuu baado nawe akili Yako ni ya malumbano ya kimakundi,Ukaguzi wa Mali za CCM uligundua mengi ikiwemo upigaji uliofanywa na akina Nape Nnauye
Ile ripoti kuifanya Siri hamkuitendea haki nchi na wananchi
Wizi wa Akina Nape ulistahili kuanikwa wazi ona Sasa akina Nape wanatamba sana utafikiri hawajawahi kuwa wezi kuibia CCM
Ripoti ile itolewe hadharani
Mwenzenu naomba shule kidogo.Hivi legacy Ni kitu gani?Naona mnatuchanganya.Tangu JPM amefariki tunazidi kuona wimbi la wasaliti na wanafiki likizidi kuongezeka kila uchao.
Wale waliokuwa seat za mbele kama spika Ndugai na wengine wengi tu, leo wananchi hatuamini tunachokisikia kutoka vinywani mwao.
Lakini kuna kundi lingine ambalo lina kisasi na mwenda zake hayati JPM.
Aidha kwa kukutana na maamuzi yake yaliyokuwa na msimamo usioyumbishwa au kwa kutumbuliwa nyadhifa zao.
Wa hivi karibuni kabisa ni Nape nauye mbunge wa mtama huko lindi ambaye pia yuko kundi la Membe anayejiita kachero mbobezi.
Ninaomba nimuogelee zaidi Nape,kwa sababu amejitoa akili na kupayuka ovyo bungeni akitilia mashaka deni la taifa lilillokopwa na serikali awamu ya Tano ikiongozwa na JPM, makamu wake akiwa ni Rais wa sasa mh Samia suluhu hassan.na waziri wa fedha wakati huo akiwa ni makamu wa sasa wa rais Dk Mpango.
Sitaki kujadili zaidi sababu tayari kuna thread humu zimekwishadadavua ulinganifu wa deni na ukubwa wa miradi iliyotekelezwa na awamu hiyo ya tano.
Kwa uchache tu, Ndege Mpya 11 za ATCLnazingine5 zikisubiriwa.,Mradi wa SGR,Mradi wa bwawa la NYERERE HYDROELECTRIC DAM,
Daraja la Busisi ziwa victoria,Daraja la salender TANZANITE Dar es salaam, meli mpya ziwa victoria, ukarabati wa Mv victoria, ukarabati wa reli ya kati na ununuzi wa baadhi ya mabehewa,
Ujenzi wa flyover za ubungo na barabara ya njia nane ubungo kimara,ujenzi wa stendi mpya mwanza,Dar es salaam.na morogoro.
Uhamishaji wa serikali kwenda Dodoma,ujenzi wa miundombinu makao makuu Dodoma,ujenzi wa mabweni ya wanafunzi UDSM,Ujenzi wa nyumba za wakaazi wa magomeni quarters.
Miradi ni mingi na utajaza kurasa nyingi ili kuimaliza.
SASA NAPE KAMA ANAMUONA JPM ALIIBA.NA YEYE AKUBALI RIPOTI YA KAMATI YA UKAGUZI WA MALI ZA CCM ILIYOONGOZWA NA DK BASHIRU,
ILETWE BUNGENI NA ISOMWE TUONE UBADHIRIFU WAKE NA IKIBIDI WOTE WALIOFUNIKIWA KOMNE KAMA YEYE WAWAJIBISHWE UPYA.
Nimemaliza.
Demu wako huyoMkaldayo mbona umeniquote kwenye comment hiyo?
Na hana access hata ya kusogelea kuta za lumumba wala pale White House ya Dom mtaa wa Kuu. Aisee haya madaraka haya, huwezi amini pale akikatiza anafumba machoNdiyo Amechelewa Sasa Hivi
Tokea lini we Mgerasi? 😂😂Demu wako huyo