Acheni kujaza watu ujinga,hakuna taifa ambalo kila mtu ni Mkulima.Na uyo Waziri wenu Kilaza anawadanganya eti Kilimo Biashara,anajua ata anachozungumza? Agribusiness inaendeshwa kwa jembe la mkono!!
Acheni kujaza watu ujinga,hakuna taifa ambalo kila mtu ni Mkulima.Na uyo Waziri wenu Kilaza anawadanganya eti Kilimo Biashara,anajua ata anachozungumza? Agribusiness inaendeshwa kwa jembe la mkono!!
Hivi na wewe ukiambiwa agribusiness unawaza kulima kwa jembe la mkono tu? kwa hapa naona kilaza ni wewe kwani kilimo ni zaidi ya jembe la mkono, rudi tena shule ukajifunze.
Mahindi tani 200,000 sio kwamba ndio zilizopo sasa hivi, hiyo ni maximum capacity ya maghala yetu, ambazo ziliishaanza kugawanywa tangu mwaka jana kwa wilaya zilizokuwa na hali mbaya kichakula
Ila hata wangezigawa zote kwa pamoja bado zisingepunguza bei, ni kidogo ukilinganisha na mahitaji ya soko
Acheni kujaza watu ujinga,hakuna taifa ambalo kila mtu ni Mkulima.Na uyo Waziri wenu Kilaza anawadanganya eti Kilimo Biashara,anajua ata anachozungumza? Agribusiness inaendeshwa kwa jembe la mkono!!