Bashe: Ubunge nipeni mimi, urais baba yetu Lowassa

Bashe: Ubunge nipeni mimi, urais baba yetu Lowassa

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,178
mgombea wa ubunge nzega mjini amesema jana katika uzinduzi wa ubunge katika jimbo lake kuwa yeye ndiye anafaa kuwa mbunge lakini urais anamuunga Lowassa.

Bashe aliyasema hayo jana majira ya saa kumi na moja jion na kushangiliwa na umati wa watu.

Sina tatizo na magufuli ila kwa nafasi ya urais haimtoshi na itakuwa dhambi kubwa kumlinganisha magufuli na lowassa. Wote mimi nawajua na kiukweli sijaona atakaye ongoza nchi hii kama si Lowassa.

Tulipo kosea sisi ni kwenye uteuzi wa rais, na hapa tutajilaumu sana, ila bado mimi ninaimani na lowassa, aliongeza bashe.
 
bora yeye kaamua kuyasema ya moyoni. Hakika lowasa atafungua minyororo ya wengi mwaka huu.
 
Asubiri kufukuzwa hata kabla ya Uchaguzi
 
mgombea wa ubunge nzega mjini amesema jana katika uzinduzi wa ubunge katika jimbo lake kuwa yeye ndiye anafaa kuwa mbunge lakini urais anamuunga lowassa.
Bashe aliyasema hayo jana majira ya saa kumi na moja jion na kushangiliwa na umati wa watu.
Sina tatizo na magufuli ila kwa nafasi ya urais haimtoshi na itakuwa dhambi kubwa kumlinganisha magufuli na lowassa. Wote mimi nawajua na kiukweli sijaona atakaye ongoza nchi hii kama si lowassa.
Tulipo kosea sisi ni kwenye uteuzi wa rais, na hapa tutajilaumu sana, ila bado mimi ninaimani na lowassa, aliongeza bashe.

Mbona hajamfuata Chadema?
 
Watanzania wanaotaka mabadiliko ndo hao kina Bashe. Na bado kampeni ikinoga watasema wengi.
 
mgombea wa ubunge nzega mjini amesema jana katika uzinduzi wa ubunge katika jimbo lake kuwa yeye ndiye anafaa kuwa mbunge lakini urais anamuunga lowassa.
Bashe aliyasema hayo jana majira ya saa kumi na moja jion na kushangiliwa na umati wa watu.
Sina tatizo na magufuli ila kwa nafasi ya urais haimtoshi na itakuwa dhambi kubwa kumlinganisha magufuli na lowassa. Wote mimi nawajua na kiukweli sijaona atakaye ongoza nchi hii kama si lowassa.
Tulipo kosea sisi ni kwenye uteuzi wa rais, na hapa tutajilaumu sana, ila bado mimi ninaimani na lowassa, aliongeza bashe.

Infact Bashe kumsapoti Lowassa sina shaka nalo. Ila story yako ni uongo wa kutupwa. Bashe yupo Dar kwa sasa. Na jana kashinda nyumbani kwake Mbezi akiangalia Tv live uzinduzi wa Jangwani
 
Bashe yuko Dar sasa hiyo jana kaongelea wapi?. Au Nzenga kuna Bashe wawili Mkuu
 
Back
Top Bottom