Nimepita mikoani huko , nikakutana na kijana wa kawaida tu kijiweni... Akasema ukombozi wa fikra aliyofanya mzee Magufuli ni urithi tosha kwake na umemfanya kujitambua ... Kwa kweli sikutarajia jibu kama hilo.. Kijana ameiva sana ...Kazi aliyoifanya miaka mitano tu inatosha maana itadumu vizazi hadi vizazi. Nayo ni ya ukombozi wa kifkra kwa waliomwelewa na kuielewa falsafa ya Magufuli.
Hiyo ni nzuri sanaNimepita mikoani huko , nikakutana na kijana wa kawaida tu kijiweni... Akasema ukombozi wa fikra aliyofanya mzee Magufuli ni urithi tosha kwake na umemfanya kujitambua ... Kwa kweli sikutarajia jibu kama hilo.. Kijana ameiva sana ...
We jamaa bhana..umenichekesha sanakwahiyo JIWE alimpigia simu bashe late night akamuuliza kama kweli kuna binadamu haogopi kufa!
Jiwe mi tena kwenye kuongoza malaika
Kabisa
Anajua ukweli sema kwa vile ni msomali lazima asifie asije kamatwa na uhamiajiRule of thumb: huwezi kuwa bingwa kwa kuondoa/kumzuia mshindani wako kwenye mpamabano
Ndio maana tunaambiwa usimsifu mkimbiaji bila kumsifu mkimbizaji pia
Mathalani utakuwa Mjinga sana unapomsifu Magu bila kumsema Lisu
Halikadharika nitashangaa ukimsifu SSH bila kumpongeza ................... anaempelekesha!!!
................. huu ndio mtihani wetu kwa sasa
Magufuli alikuwa na mazuri na mabaya yake kama tulivyo wengine wote, tusijidanganye, kuendelea kumsema vibaya hakutufanyi wengine tuwe watakatifu.
Hivi uhamiaji huwa hawamuoni huyu msomali?
Mkuu ukiwa mezani na unakula huwa unaongea?hivi duniani tunahangakia matumbo tyu au kuna mengine?kabla hajapata ulaji alikuwa mkosoaji mzuri wa mwendazake ila baada ya kupewa unaibu waziri kageuka wakala wa kusifia hata pasipostahili sifa..
kama serikali yetu ingewekeza kwenye vipaji bila shaka kwenye unafki wangeweka kipaumbele