seph0408
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 1,180
- 702
Mvinyo umepunguzwa alcohol ila chupa ndo ileile.tunakusubiri Mh. Hiyo ndio CCM mpya mvinyo ule ule chupa ndio mpya
Mvinyo umepunguzwa alcohol ila chupa ndo ileile.tunakusubiri Mh. Hiyo ndio CCM mpya mvinyo ule ule chupa ndio mpya
Mpaka kapata ubunge ni raia halaliIvi huyo jamaa ni raia halali?
Another new episodeHapo ni sarakasi zimeanza ama ndiyo "damage Control" inafanyika??
Ili uwe raia halali inabidi uwe na nidhamu ya woga au mdomo wenye glue?????? Inabidi uwe na pua kama kitumbua ndo uwe raia au inabidi uwe na rangi ya mpingo??? Tumechoka kusikia hii. Nchi hii siyo wa wabantu pekee kuna wengine tulikutwa humu kama wasonji, wabarbaig, wasandawi, wamasaai, wahima wa ngara na biharamulo, sasa tumeanza kuambiwa siyo raia wakati tumekuwa hapa zaidi ya miaka zaidi ya kalne 9 sasa nyinyi wakuja toka naigeria na senegal mmekuwa raia kuliko sisi? Soma history halafu rudi hapa.
Umeanza udaku.Ivi huyo jamaa ni raia halali?